Hapo wamechanganya pombe na chai, hivi institutes ni university? Hata kama zinatoa degree haziwezi itwa university hapo kuna michanganyiko, na mahaba
UDOM chuo kichanga lkn tushawapiga magepu wakongwe wengi tu...
chuo cha kata mnataabu xn,
krb udsm
chuo cha kata mnataabu xn,
krb udsm
Kufanya nn kwa mafisadi -----
My university inakuja juu..,.udom oyeeee!!!
Hawa jamaa kwa miaka michache ijayo wanaweza wakashika namba moja.. Sababu ni moja tu..! Wengi wanaosoma OUT wako very determined, matured na mtu kaenda kusoma kweli!!!... Kwingine huku ni sarakasi tu..,,
duuuuh T.I.A yang haipo!!!!!!🙁🙁🙁
Ilikuwa kazi kusema nasoma OUT hapo awali!, ila kwa sasa nasema kifua mbele kwamba I graduated from OUT.
I'm enjoying!!
Vyuo kama T.I.A are useless na hazitambuliki kimataifa
chuo cha kata mnataabu xn,
krb udsm