Hususani ukicheza Manager Career, mimi nilikuwa nikicheza level ya Professional. Nikiingia World Class au Legendary huwa napigwa vibaya sana.FIFA ndo gemu kali, period
Yes Mkuu, IGI unahitaji kutuliza kichwa hususani pale uhai hauna. Tofauti na Call Of Duty, wao ukipigwa sana unaweza ukakaa sehemu na uhai ukarudi ukaendelea kupiga mzigo kama kawaida ila IGI kuna kikomo chake so lazima utulize ubongo.Yap ndo ivo,kwa game ya mission igi tamu sana,cz nihame isiyo na vurugu af akili nyingi sana
Bila kumsahau drury na andy townsendHususani ukicheza Manager Career, mimi nilikuwa nikicheza level ya Professional. Nikiingia World Class au Legendary huwa napigwa vibaya sana.
Kiukweli Fifa wapo juu sana Mkuu, kuanzia
-Jezi, kuna timu zina jezi aina 3 tofauti tofauti na zingine extra, so jumla kunakuwa kama 4-5 hivi. Upande wa jezi mimi napendekeza wawe wanatengeneza kwamba mtu unaweza ukachagua bukta ikawa ya home na ya juu ikawa ya awaya.
-Wachezaji wanaonekana fresh sana, yani mtu akilowa jasho unaliona kabisa jasho, dah fifa hatari aiseee!
-Upande wa viwanja jamaa wamekimbiza kabisa, viwanja vipo poa na vimekaa kiuhalisia kabisa.
-Watangazaji wake ni wazuri sana tofauti na pes, wamefanya jambo la maana kumweka Martin Tyler na Alan Smith.
Kiukweli FIFA kila sehenu imekaa vema yaani kuna mitimu ya kumwaga humo ndani.
Kama una Fifa 16 nitoe Mkuu!
Kweli nahitaji ari mpya ya kucheza Gamez, hapo ulizotaja sijacheza hata moja!!!!Niliwahi piga "Age of Empire 3" ni real time strategy game poa sana!
Pia kuna hii yaitwa SIMCITY™ by EA ipo poa ila kiboko yake ipo CITIES:SKYLINE ila hapo PC yangu ikaishindwa kiaina!!
Kuna mmoja wao hapa ana kisauti flani hivi chembambaaa, huyu jamaa namkubali sana pia mkuu. Upande wa commentatorz FIFA tuwape heshima yao.Bila kumsahau drury na andy townsend
igi mi nimelicheza kama miaka 10 hv iliopita ni rahisi sana hasa ukipata sehemu upo juu na bunduki yenye darubini au sniper au bastola za silence nk unaweza ukawaua wote bila hata kukujua ulipoIgi ni game rahisi sana kucheza,mwanzo nilikua napigwa risasi kama kawa,ukiweza kudestroy tu zile camera umemaliza game,unakua unaua nyatunyatu tu
Mwambie aongeze Prostitutes Wakutosha kila pande,heists jobs..luxury life style..Online gaming..F**k with PolicesOngezea internet!
Taja yeyoteWadau hizi game za action naweza pakua wapi (kudownload) msaada plz
Mkuu haya unayapata wapi if unadownload plz tusaidie link??Nazo subiri kwa hamu😀😀
- GTA V
- Need For Speed Hot Pursuit
- Need For Speed Rival
- Fallout 4
- WWE 2K15
- NBA 2K15
- Mortal Kombat X
- PES 2015
- Need For speed 2015
- The Crew
- Project Cars
- Tekken 7

Wadau hizi game za action naweza pakua wapi (kudownload) msaada plz
Yeah kweli mkuuigi mi nimelicheza kama miaka 10 hv iliopita ni rahisi sana hasa ukipata sehemu upo juu na bunduki yenye darubini au sniper au bastola za silence nk unaweza ukawaua wote bila hata kukujua ulipo
Mkuu tupe link yoyote tupakue midude hiyoTaja yeyote
Vita gani unazungumzia Mkuu!?