Kaz zetu znyew hiz sedentary lifestyle sio poaUtaona mabadiliko makubwa ukiwa serious ndani ya muda mfupi
Unajua umri wangu lkn 😅Una bahati sana💪🏿
Frustrations za kupungua, bora usinenepe tu mkuuMbn mm sinenepi mzee nna kg 56
Mm kunenepa ni ngumu bhn i have tried vingi naona hapa ndo penyewe sasa 😅 ishu wadg zangu wanalipuka as if wamewekewa UREAFrustrations za kupungua, bora usinenepe tu mkuu
Hpn ndo nipo early 30sAge go!?
Hii ni chat gipiti min -me nkiki mbe mburaaaaaaaaKihamba kya Rombo kyahuha (or kyasorwa) tangu omwaka o arobaini na saba (1947). Wanyekuru wako mbe ni akina Lyimo."
Daaah me mzee wangu akiwa na umri huu alikuwa 🔥🔥 mpk ananiuliza hulagi nn kijana Ila ndo inheri maake mzee wake hakuwa na mwili mkubwa ko wao wamerithi kwa bi mkubwa wao ambaye ni grandma kwanguDah bado sana sana🤣 By that age nilikuwa kama wewe kifua kipana flat tummy🔥 ni mwendo wa Tshirt na jeans.. Siku hizi😪
Ni kawaida kwa watoto wa mwanzo kuwa na udumavu maana mnapatikana kipindi ambacho wazazi hawajajipata na mkishakua, mnakomazwa na majukumu . So achilia moyo kaka unenepe 😁Mm kunenepa ni ngumu bhn i have tried vingi naona hapa ndo penyewe sasa 😅 ishu wadg zangu wanalipuka as if wamewekewa UREA
Ukifikish 90 utatak tena 100 had 150 😂Jitahidi.. Mimi mwenyewe napambana kuitafuta 90😂
Jani,maakuli,tizi,mma,mikito.😀Misosi na soda
Mazoezi na maji
Mmea na mikito
Mmea na vikali
Mmea na vilevi
Huchagui hubagui
🤗Mazoezi na maji
Shukran sanaKwa moyo mkunjufu karibu