Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 12,777
- 24,087
Ngoja nijitahidi brother 😅Ni kawaida kwa watoto wa mwanzo kuwa na udumavu maana mnapatikana kipindi ambacho wazazi hawajajipata na mkishakua, mnakomazwa na majukumu . So achilia moyo kaka unenepe 😁