Bernad Camillius MEMBE ndiye RAIS WA TZ 2015

Bernad Camillius MEMBE ndiye RAIS WA TZ 2015

Status
Not open for further replies.
Mkuu ocampo four kula like kubwa sana.......Kumshindanisha lowassa na Membe ni sawa sawa na kumshindanisha Jenerali Ulimwengu na Ramadhani Semtawa kwenye tasnia ya uandishi wa habari.....au kwa lugha nyepesi ni sawa na kumlinganisha Tembo na sisimizi

id yako inakusuta.
 
Wala sitashangaa... manake nchi hii hata Lusinde kibajaji anaweza kua rais, Kama tulikubali Kina Makame (RIP) na Kiravu kuturudishia Vasco da Gama Magogoni CCM wanaweza kutuwekea hata Membe hapo magogoni manake nchi hii rais anawekwa na CCM,NEC, TISS na poliCCM wananchi hawana nafasi ya kuchagua viongozi ndio maana hata sishangai tunapoongozwa na wale ambao hatukuwachagua!! Maaanina zetu wacha tuendelee kuinamishwa tu manake hatujui hata haki zetu
 
Kuwa nje ya JF kwa zaidi ya juma moja kama nilivyokuwa mimi halafu kuingia unakutana na Thread mbovu ya uapashu kama hii unaweza kutapika bila kupenda
 
Membe hata huo uwaziri hauwezi, membe hafai hata kidogo
 
uzi huu huwezi kuwaona pro membe chabruma na lizaboni..teh teh
 
Najua kuna watu wanalipwa na wagombea na wamefumbia macho hata ukweli ulio wazi.

Nina uhakika 100% kwamba MEMBE ndie atakuwa RAIS wetu.

Kuna watu watatokwa na povu kama wamekunywa OMO but hiyo haisaidii ukweli utabaki ukweli.

SIJAWAHI KUKOSEA UTABIRIWANGU HATA MARA MOJA

1995 nilitabiri MKAPA ndie atashinda baada ya Mwalimu kzunguka nch nzima kumkampenia. Nilizodola sna na waenzi wa JK na MALECELA ambao hawakutaka kabisa kuaminikuwa mgombea wao

Angeshindwa maana wao waliaminikuwa MKAPA HAPENDWI NA WATANZANIA HAWAMJUI! MKAPA akawatimulia vumbi.Nilipowafuata wale jamaa zangu wakadai “AMSHUKURUNYERERE” EBOO!!!2005 nilisema kwamba JK ndiyeambaye atapita lakini kuna wengi walidai MALECELA NA SALIM A. SALIM ndo wana nafasi nzuri. Mi niliwaambiaMINUTES za kikao cha Kamati Kuu cha 1995 ambapo NYERERE alimkaa waziwaziMALECELA bado zipo sasa atapitaje???? Jamaa wakawa wabishi kama mshipa eti “NYEREREKESHAKUFA NA FAILI LIMETIWA KIBERITI”..EBOOO!!!NYERERE alimkataa LOWASSA MCHANA kweupe kwenyeKAMATI KUU 1995 na MINUTES BADO ZIPO HIVYO KAMATI KUU ITAMTEMA KIULAIIINI HUYOLOWASSA WENU.NAJUA VIKARAGOSI VYA LOWASSAVitakuja juu vikidhani pesa ya Lowasa ndo itamsaidia. MLIE TU. PIGA UA GARAGAZA, MEMBE NDIYERAIS WETU 2015 NA MJUE UKIWA WAZIRI WAMAMBO YA NJE UNA NAFASI KUBWA SANA!UZI HUU UTUNZWE ILI VAGOSI VYA LOWASANIJE KUVIZODOA BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU 2015 AMBAPO LAIGHWANAN ATATEMWA RASMI

Ndoto za alinacha..................... Chama kitasambaratika!
 
Tushike lipi sasa? Vijana wa Membe wamehamia kwa Pinda kwa kuwa Membe hapokei simu zao au kwa kuwa Membe hauziki? Sitarajii jibu jepesi kwamba yote hayo coz' uliyesema "correct" umeunga mkono hoja ya huyo wa juu!

..hivi hoja ya Membe kuhusu maji ya mto Nile imeishia wapi?

cc Chabruma, ocampo four
 
Last edited by a moderator:
MIMI NDIYE MLETA UZI SO HOJA ZENU VIKARAGOSI VYA LOWASSA


  1. “MEMBE hakuna mtu anayemjua labda kwao Lindi”
    Sishangazwi na hoja hii maana hata wa lkatiwa MKAPA watu walinijia juu sana na kumtukana majina yote lakini MWISHO WA SIKUMKAPA AKAWA RAIS. VIKARAGOSI VYA LOWASSA VITATUKANA SANA BUT RAIS NI MEMBE

  2. “MEMBE akiwa Rais nahamia Somalia”
    EBOO we KIKARAGOSI ukihama cc tutangukiwa nini??? Sana sana tutandokana napumba zako na TUTAFURAHI SANA.

  3. “MEMBE Hawezi kupiga kampeni mwenyewe anasubirimbeleko ya JK na mama Salma”
    Hata MKAPA alipigiwa kampeni na NYEREREnchi nzima

    MMEKUNYWA OMO MNATOA POVU…HA HA HA. JENGENIHOJA
Kikaragosi ni wewe mwenyewe, njaa zako zitakupelekea kuja kudaiwa pesa na boss wako membe Maana hata umsifie vipi Hana Mvuto na hauziki , wengi wanajua Kuwa ni mmiliki wa Taasisi ya kuchafua watu mtandaoni. Membe ikulu atapasikia kwenye bomba tu.
 
uzi huu huwezi kuwaona pro membe chabruma na lizaboni..teh teh

Ni Shiiiiiiida ! Wanajuta kuchukua pesa za Membe , Maana wamejitahidi kupika Majungu na Uchonganishi weee sasa wanajiuliza waje na Uongo gani ili boss wao membe aendelee na kuwagawia ile pesa ya Marehemu Gadafi.
 
Tuache siasa za ujinga. Wenzako wanapotoa mawazo usiyokubaliana nayo unaona wanalipwa! Umelipwa ngapi wewe?
 
Kwa vigazo vya urais, nahisi Membe hayumo na si kwa sababu nasapoti yeyote.
 
hawa wafuatao wanahitajika kutumia nguvu sana kuwashawishi wana ccm wa zanzibar kupata kura zao:


MEMBE:
wazanzibar wanalalamika huyu bwana anatumia madaraka yake ya mambo ya nje kuwazalilisha viongozi wa zanzibar wakiwa kwenye msafara wa nje ya nchi, na wanamlalamikia kua anapotakiwa atoe instrument kwa viongozi wa zanzibar iili wakope au kutia mikataba hutumia ubabe na kuwadhalilisha. kwa hio naamini hujiuliza ikiwa mambo ya nje tu unaact hv vp ukiwa rais ?

Pinda:
huyu kinachomponza ile kauli yake ya kusema zanzibar sio nchi, iliwakereketa sana wazanzibari hadi kuamua kuweka sawa kwenye katiba yao kua zanzibar ni nchi. kwa hiyo wanaamini kua huyu hana nia njema na wazanzibar

Sitta:
huyu bwana wazanzibari wanamhesabuni mnafiki ni mtu ambae anajua fika nn wazanzibar lkn kwa kutumia unafiki wake huwazunguka kila mara.

anahusika moja kwa moja kumuondoa rais wa zanzibar kua makamo wa rais
 
HUYU MWANZILISHI WA HII THREAD ANAJUA KABISA TUSIVYOMPENDA MEMBE ILA AMEAMUA KUTUHARIBIA SK YETU LEO.MEMBE HAKUNA ANAYEMTAMKIA MAZURI HATA MMOJA,USHAHIDI TIZAMA WACHANGIAJI WA HII THREAD WOTE WANAMLAANI,NAMI NAMLAANI SANA,mtu Mwenye Kuendekeza Udini,et Kailaani Israel,et Ndugu Zake Wapalestina Wanauliwa,walipouliwa Waisrael Alishangilia Sana, Haya Isi Kule Iraki Inachinja Watu Membe Umemsikia Akilaani? Huyu Anafaa Kuwa Rais Wa Mkewe Tu Hata Huko Wama Hafai,na AKIWA RAIS MEMBE NCHI HII, NAOMBA NIHESABIWE MIMI SIYO MTANZANIA,
 
..hivi hoja ya Membe kuhusu maji ya mto Nile imeishia wapi?

cc Chabruma, ocampo four
Mkuu JokaKuu, za miongo kadhaa! Naona unataka kuifufua tena ile mada wakati ilishakufa... nakuomba usifanye hivyo kwavile wala hatutafikia muafaka! Hata hivyo, nitakujibu kwa uchache sana kulingana na ufahamu wangu. Mosi, kwa muda mrefu sasa am not active... si mitandaoni tu even in the real world... am kinda busy aisee! Kile kikao ambacho Membe alikusudia kuitisha hakikufanyika simply because, pamoja na kwamba other EAC leaders hawakunesha ushirikiano lakini Egypt iliamua kukaa meza moja na mchangiaji mkubwa wa maji ya mto Nile yaendayo Egypt... mchangiaji huyu ni Ethiopia. Ethiopia, Egypt na Sudan zilikubaliana zingekutana nchini Sudan mwezi uliopita. Sijafuatilia kufahamu ikiwa walikutana na kama walikutana walikubaliana nini! Nikipata wasaa, nitadodosa lakini hivi sasa nipo bize na demu wangu mpya!
 
HUYU MWANZILISHI WA HII THREAD ANAJUA KABISA TUSIVYOMPENDA MEMBE ILA AMEAMUA KUTUHARIBIA SK YETU LEO.MEMBE HAKUNA ANAYEMTAMKIA MAZURI HATA MMOJA,USHAHIDI TIZAMA WACHANGIAJI WA HII THREAD WOTE WANAMLAANI,NAMI NAMLAANI SANA,mtu Mwenye Kuendekeza Udini,et Kailaani Israel,et Ndugu Zake Wapalestina Wanauliwa,walipouliwa Waisrael Alishangilia Sana, Haya Isi Kule Iraki Inachinja Watu Membe Umemsikia Akilaani? Huyu Anafaa Kuwa Rais Wa Mkewe Tu Hata Huko Wama Hafai,na AKIWA RAIS MEMBE NCHI HII, NAOMBA NIHESABIWE MIMI SIYO MTANZANIA,
Yaani kwavile ameilaani Israel ndo anaendekeza udini?? Udini anaouendekeza ni upi na kwa maslahi ya dini gani dhidi ya dini ipi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom