Bernad Camillius MEMBE ndiye RAIS WA TZ 2015

Bernad Camillius MEMBE ndiye RAIS WA TZ 2015

Status
Not open for further replies.
MIMI NDIYE MLETA UZI SO HOJA ZENU VIKARAGOSI VYA LOWASSA


  1. “MEMBE hakuna mtu anayemjua labda kwao Lindi”
    Sishangazwi na hoja hii maana hata wa lkatiwa MKAPA watu walinijia juu sana na kumtukana majina yote lakini MWISHO WA SIKUMKAPA AKAWA RAIS. VIKARAGOSI VYA LOWASSA VITATUKANA SANA BUT RAIS NI MEMBE

  2. “MEMBE akiwa Rais nahamia Somalia”
    EBOO we KIKARAGOSI ukihama cc tutangukiwa nini??? Sana sana tutandokana napumba zako na TUTAFURAHI SANA.

  3. “MEMBE Hawezi kupiga kampeni mwenyewe anasubirimbeleko ya JK na mama Salma”
    Hata MKAPA alipigiwa kampeni na NYEREREnchi nzima

    MMEKUNYWA OMO MNATOA POVU…HA HA HA. JENGENIHOJA
Ndugu Galiya weye ambaye ni mtabiri baada ya shee Yahaya ndio unatokwa na povu hebu tuambie Camelion Membe aka popo au almalufu joka la mdimu ataapa kwa dini gani. ...maaana mabwana zake wanajua mwenzao Saaa wewe mganga wake tueleze . Pili kwa tusomjua huyo popo anafananaje atauzika namna gani . Nionavyo mtachafuana sana ila mnara wa wanafiki daima haudumu . Ndani ya ccm hamna ujanja kabisa wa Kumg'oa mamviii ndio maaana joka la mdimu anatumia kila mbinu na anajua wengi wetu wa Watanganyika ni nyanya masalo. JK alipoulizwa kwa nn tz nine maskini akasema hajui name mpaka anamaliza hajui. Sababu ni watu kama nyie wapagazi, mnao wabeba wengine ili kushibisha tumbo name ndio vijana wengi name wazee wengi wa Tanganyika. Membe hataaweje Duniani hana chake maana kamkana mwana wa Adamu zaidi ana laaana maana amelaaniwa anayelaani taiifa la Israel
 
Najua kuna watu wanalipwa na wagombea na wamefumbia macho hata ukweli ulio wazi.

Nina uhakika 100% kwamba MEMBE ndie atakuwa RAIS wetu.

Kuna watu watatokwa na povu kama wamekunywa OMO but hiyo haisaidii ukweli utabaki ukweli.

SIJAWAHI KUKOSEA UTABIRIWANGU HATA MARA MOJA

1995 nilitabiri MKAPA ndie atashinda baada ya Mwalimu kzunguka nch nzima kumkampenia. Nilizodola sna na waenzi wa JK na MALECELA ambao hawakutaka kabisa kuaminikuwa mgombea wao

Angeshindwa maana wao waliaminikuwa MKAPA HAPENDWI NA WATANZANIA HAWAMJUI! MKAPA akawatimulia vumbi.Nilipowafuata wale jamaa zangu wakadai “AMSHUKURUNYERERE” EBOO!!!2005 nilisema kwamba JK ndiyeambaye atapita lakini kuna wengi walidai MALECELA NA SALIM A. SALIM ndo wana nafasi nzuri. Mi niliwaambiaMINUTES za kikao cha Kamati Kuu cha 1995 ambapo NYERERE alimkaa waziwaziMALECELA bado zipo sasa atapitaje???? Jamaa wakawa wabishi kama mshipa eti “NYEREREKESHAKUFA NA FAILI LIMETIWA KIBERITI”..EBOOO!!! NYERERE alimkataa LOWASSA MCHANA kweupe kwenyeKAMATI KUU 1995 na MINUTES BADO ZIPO HIVYO KAMATI KUU ITAMTEMA KIULAIIINI HUYOLOWASSA WENU.NAJUA VIKARAGOSI VYA LOWASSAVitakuja juu vikidhani pesa ya Lowasa ndo itamsaidia. MLIE TU. PIGA UA GARAGAZA, MEMBE NDIYERAIS WETU 2015 NA MJUE UKIWA WAZIRI WAMAMBO YA NJE UNA NAFASI KUBWA SANA!UZI HUU UTUNZWE ILI VAGOSI VYA LOWASANIJE KUVIZODOA BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU 2015 AMBAPO LAIGHWANAN ATATEMWA RASMI

Urais sio mchezo wa kuigiza ambapo jumbile ni moja ya kigezo huyo unayempigia hana vigezo wala sifa kwa nafasi hiyo.atakuwa ni kioja
 
Najua kuna watu wanalipwa na wagombea na wamefumbia macho hata ukweli ulio wazi.

Nina uhakika 100% kwamba MEMBE ndie atakuwa RAIS wetu.

Kuna watu watatokwa na povu kama wamekunywa OMO but hiyo haisaidii ukweli utabaki ukweli.

SIJAWAHI KUKOSEA UTABIRIWANGU HATA MARA MOJA

1995 nilitabiri MKAPA ndie atashinda baada ya Mwalimu kzunguka nch nzima kumkampenia. Nilizodola sna na waenzi wa JK na MALECELA ambao hawakutaka kabisa kuaminikuwa mgombea wao

Angeshindwa maana wao waliaminikuwa MKAPA HAPENDWI NA WATANZANIA HAWAMJUI! MKAPA akawatimulia vumbi.Nilipowafuata wale jamaa zangu wakadai “AMSHUKURUNYERERE” EBOO!!!2005 nilisema kwamba JK ndiyeambaye atapita lakini kuna wengi walidai MALECELA NA SALIM A. SALIM ndo wana nafasi nzuri. Mi niliwaambiaMINUTES za kikao cha Kamati Kuu cha 1995 ambapo NYERERE alimkaa waziwaziMALECELA bado zipo sasa atapitaje???? Jamaa wakawa wabishi kama mshipa eti “NYEREREKESHAKUFA NA FAILI LIMETIWA KIBERITI”..EBOOO!!!NYERERE alimkataa LOWASSA MCHANA kweupe kwenyeKAMATI KUU 1995 na MINUTES BADO ZIPO HIVYO KAMATI KUU ITAMTEMA KIULAIIINI HUYOLOWASSA WENU.NAJUA VIKARAGOSI VYA LOWASSAVitakuja juu vikidhani pesa ya Lowasa ndo itamsaidia. MLIE TU. PIGA UA GARAGAZA, MEMBE NDIYERAIS WETU 2015 NA MJUE UKIWA WAZIRI WAMAMBO YA NJE UNA NAFASI KUBWA SANA!UZI HUU UTUNZWE ILI VAGOSI VYA LOWASANIJE KUVIZODOA BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU 2015 AMBAPO LAIGHWANAN ATATEMWA RASMI
...hili joka la mdimu likiwa rais wa TZ basi tusitegemee chochote ktk taifa hili....haya ma ccm yatapambana kuingiza machizi kama membe ...ili waendeleze status quo.....

...ccm hawana aibu mbele ya watanzania...ndio maana wamebadili kabisa rasimu ya katiba...pasi kusingatia yale ya msingi yaliyokuwa kwenye rasimu ya pili.....Hata bla aibu walimweka fisadi mkuu na gamba kuu lililoshindikana kuwa mwenyekiti wa uandishi wa rasimu iliyochakachuliwa......na kwa maana hiyo maccm hayana aibu na sitashangaa wakiwaweka makina membe kuwa watu wao wa uarais...maccm yote yameoza.....
 
Na utabaki tu hivyo hivyo kaka huku kazi ikifanyika na mwakani Lwaiganan anatinga ikulu......Membe mumshauri either akalime au agombee ubunge au awe mkurugenzi mkuu wa WAMA
Mbona Id yako. mkuu haiendani na comments zako???
 
Team laighwanan fisadiz mtasubiri saaana
 
wakimchagua membe badala ya Lowasa hapo ndipo kifo cha ccm kitatimia kabla ya kufika hospitali
 
Ndugu Galiya weye ambaye ni mtabiri baada ya shee Yahaya ndio unatokwa na povu hebu tuambie Camelion Membe aka popo au almalufu joka la mdimu ataapa kwa dini gani. ...maaana mabwana zake wanajua mwenzao Saaa wewe mganga wake tueleze . Pili kwa tusomjua huyo popo anafananaje atauzika namna gani . Nionavyo mtachafuana sana ila mnara wa wanafiki daima haudumu . Ndani ya ccm hamna ujanja kabisa wa Kumg'oa mamviii ndio maaana joka la mdimu anatumia kila mbinu na anajua wengi wetu wa Watanganyika ni nyanya masalo. JK alipoulizwa kwa nn tz nine maskini akasema hajui name mpaka anamaliza hajui. Sababu ni watu kama nyie wapagazi, mnao wabeba wengine ili kushibisha tumbo name ndio vijana wengi name wazee wengi wa Tanganyika. Membe hataaweje Duniani hana chake maana kamkana mwana wa Adamu zaidi ana laaana maana amelaaniwa anayelaani taiifa la Israel
Hadi uulize Membe ataapa kwa dini gani kwani kuna utata gani kuhusu dini anayoiamini Membe?
 
Vijana wake wanalalamika kuwa jamaaa hapokei simu zao.....yeye upokea simu ya JK, Riz, na Nyalandu sababu kubwa ni kujisikia kwake kwa sana, ndiyo mana vijana wake wengi wamekimbilia kwa Pinda......Yani mkuu funza kumpa Membe urais ni ndoto na sikufichi Dr Slaa atashinda kwa uraisi sana ccm ikikosea kumleta Membe kwa wananchi, kwanza hata ndani ya chama hana pa kupenyea.

Correct mkuu, saizi vijana wake wengi wamehamia kwa Pinda baada ya kuona Membe hauziki kwa namna yoyote ile
Tushike lipi sasa? Vijana wa Membe wamehamia kwa Pinda kwa kuwa Membe hapokei simu zao au kwa kuwa Membe hauziki? Sitarajii jibu jepesi kwamba yote hayo coz' uliyesema "correct" umeunga mkono hoja ya huyo wa juu!
 
Kama jumanme alishindwa kupita huyu popo mwingine atapitia wapi kweli mganga huyu anakula hela za camelion maana hajawahi kueleweka katika lolote lile kaleta mladi wa Diasporas umebugi kaleta mambo ya oais akaitwa na Cadinal Pengo akondoka kichwa chini sasa atueleze huyu mganga Membe anapitia wapi mtu ambaye hatujui ni mwislamu au kristo ,hatujui Kama ni ------ au mmakua leo leo awe Rahisi du kweli hii ndio Tanganyika kila mtu anaweza maana wanajua watz ni mafungu ya nyanya tena masalo
Nini kinakufanya uhisi Membe ni Mwislamu?
 
Nini kinakufanya uhisi Membe ni Mwislamu?

Halafu sijui kwanini wanahoji dini ya membe! maana jk ni muislam na rais mkapa ni mkristo lakini sijawahi kusikia wakristo wanalalamika kubaguliwa na jk au waislam kubaguliwa na mkapa. Pia watu wanasahau ukiwa rais ni kama kuwa mpagani tu kwa wananchi.
 
Jina la kati ni Camillius... anything else?!
6.jpg

Mrs DORCAS MEMBE
msimchafue yuko fit, KUMUITA JOKA LA MDIMUM SIO SAWA.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom