Bernad Camillius MEMBE ndiye RAIS WA TZ 2015

Bernad Camillius MEMBE ndiye RAIS WA TZ 2015

Status
Not open for further replies.
Membe kwenye mbio za urais 2015 anaishia kutajwa JF tu na makuwadi wake wa siasa.

Uwanja wao mkubwa wa siasa ni facebook na mitandaoni.........badala wazunguke kutafuta kura wenyewe wanakuja humu ndani hahahahah hawa majamaa vichekesho kweli
 
anakuwa rais wa TFF au rais wa shirikisho la wasanii? kwa huko inawezekana hujakosea,
 
List inazidi kuwa kubwa - inaonekana mnyukano mkubwa ndani ya CCM kumpata yule atawapeperushia bendera yao
Hebu tufanya Update kidogo hapa

1. Edward Lowassa
2. Benard Membe
3. Samweli Sitta
4. Steven Wassira
5. January Makamba
6. Hamis Kigwangala
7. Willam Ngeleja

Hapa inaonekana kuwa na mtifuano hasa kwenye number zile za juu - haya sisi hatuna shida mshindi wao tunamsubiri upande wa pili.

Kaka kwa hakika niamini mtu wa kushindana na Lowassa ndani ya chama hajazaliwa... na kwa uwazi kabisa akiletwa mtu kama Membe, Sijui january, Wassira, Migiro au Sitta mapema sana saa nane Dr Slaa kashatangazwa mshindi
 
Ni kweli mkuu mwakani Membe ndiye rais wa WAMA mama salma atakapostafu
kwa Lowasa muheshimiwa Dialo katushauri tumlie pesa zake tu. Nami hilo nalitekeleza ingawa humu namponda ni mmoja wa wapambe wake.
 
Hahahahaha asante mkuu......hawa watu wa WAMA wanahangaika sana.....vijiweni wanakuambia kumpa Membe urais bora DOVUTWA mara mia moja....akawe rais au ofisa mtendaji mkuu (CEO) wa WAMA Organization
Kama jumanme alishindwa kupita huyu popo mwingine atapitia wapi kweli mganga huyu anakula hela za camelion maana hajawahi kueleweka katika lolote lile kaleta mladi wa Diasporas umebugi kaleta mambo ya oais akaitwa na Cadinal Pengo akondoka kichwa chini sasa atueleze huyu mganga Membe anapitia wapi mtu ambaye hatujui ni mwislamu au kristo ,hatujui Kama ni ------ au mmakua leo leo awe Rahisi du kweli hii ndio Tanganyika kila mtu anaweza maana wanajua watz ni mafungu ya nyanya tena masalo
 
Kama jumanme alishindwa kupita huyu popo mwingine atapitia wapi kweli mganga huyu anakula hela za camelion maana hajawahi kueleweka katika lolote lile kaleta mladi wa Diasporas umebugi kaleta mambo ya oais akaitwa na Cadinal Pengo akondoka kichwa chini sasa atueleze huyu mganga Membe anapitia wapi mtu ambaye hatujui ni mwislamu au kristo ,hatujui Kama ni ------ au mmakua leo leo awe Rahisi du kweli hii ndio Tanganyika kila mtu anaweza maana wanajua watz ni mafungu ya nyanya tena masalo

Mkuu kinachompa kichwa ni kubebwa na mke wa rais......sasa wananchi wanashangaa kweli mpaka level ya urais watu wanafikiri wanaweza kubebana......kwa lipi Membe amelifanyia taifa hili mpaka apewe nchi......yani bado ni mchanga sana kwenye politics za urais...
 
kwa Lowasa muheshimiwa Dialo katushauri tumlie pesa zake tu. Nami hilo nalitekeleza ingawa humu namponda ni mmoja wa wapambe wake.
Hhahahahaha umeona hizo post hapo juu, hii ndio reflection ya jamaa yenu jinsi anavyokubalika hahahahahahahaha.......pole sana mkuu
 
List inazidi kuwa kubwa - inaonekana mnyukano mkubwa ndani ya CCM kumpata yule atawapeperushia bendera yao
Hebu tufanya Update kidogo hapa

1. Edward Lowassa
2. Benard Membe
3. Samweli Sitta
4. Steven Wassira
5. January Makamba
6. Hamis Kigwangala
7. Willam Ngeleja

Hapa inaonekana kuwa na mtifuano hasa kwenye number zile za juu - haya sisi hatuna shida mshindi wao tunamsubiri upande wa pili.

hata kigwangwala naye anautaka urais???? ama kweli ukistaajab ya musa!!

huyu membe si ndie mtetez mkubwa wa uraia wa nchi mbili kweli watanzania tutamuamini kumpa nchi??? nehi kabisa!!!
 
Najua kuna watu wanalipwa na wagombea na wamefumbia macho hata ukweli ulio wazi.

Nina uhakika 100% kwamba MEMBE ndie atakuwa RAIS wetu.

Kuna watu watatokwa na povu kama wamekunywa OMO but hiyo haisaidii ukweli utabaki ukweli.

SIJAWAHI KUKOSEA UTABIRIWANGU HATA MARA MOJA

1995 nilitabiri MKAPA ndie atashinda baada ya Mwalimu kzunguka nch nzima kumkampenia. Nilizodola sna na waenzi wa JK na MALECELA ambao hawakutaka kabisa kuaminikuwa mgombea wao

Angeshindwa maana wao waliaminikuwa MKAPA HAPENDWI NA WATANZANIA HAWAMJUI! MKAPA akawatimulia vumbi.Nilipowafuata wale jamaa zangu wakadai “AMSHUKURUNYERERE” EBOO!!!2005 nilisema kwamba JK ndiyeambaye atapita lakini kuna wengi walidai MALECELA NA SALIM A. SALIM ndo wana nafasi nzuri. Mi niliwaambiaMINUTES za kikao cha Kamati Kuu cha 1995 ambapo NYERERE alimkaa waziwaziMALECELA bado zipo sasa atapitaje???? Jamaa wakawa wabishi kama mshipa eti “NYEREREKESHAKUFA NA FAILI LIMETIWA KIBERITI”..EBOOO!!! NYERERE alimkataa LOWASSA MCHANA kweupe kwenyeKAMATI KUU 1995 na MINUTES BADO ZIPO HIVYO KAMATI KUU ITAMTEMA KIULAIIINI HUYOLOWASSA WENU.NAJUA VIKARAGOSI VYA LOWASSAVitakuja juu vikidhani pesa ya Lowasa ndo itamsaidia. MLIE TU. PIGA UA GARAGAZA, MEMBE NDIYERAIS WETU 2015 NA MJUE UKIWA WAZIRI WAMAMBO YA NJE UNA NAFASI KUBWA SANA!UZI HUU UTUNZWE ILI VAGOSI VYA LOWASANIJE KUVIZODOA BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU 2015 AMBAPO LAIGHWANAN ATATEMWA RASMI
Kikaragosi ni wewe mwenye njaa mpaka ----------- na Membe ili muendeleze Tabia zenu mbovu za kuchafua watu kwenye mitandao,
 
Akawe rais wa watu wa Mtama.....urais wa nchi atausikia kwenye bomba.......bora tusiwe na rais kuliko kuwa na huyu joka la mdimu
 
Mpaka ifike siku ya uteuzi wa mgombea urais kupitia CCM, tutaona vioja vingi vya wapinganao.
cc : Ocampo four,Chabruma,Rais Mtarajiwa,Mohamed Mwautepe.
 
Hhahahahaha umeona hizo post hapo juu, hii ndio reflection ya jamaa yenu jinsi anavyokubalika hahahahahahahaha.......pole sana mkuu

Membe sio kwamba napenda awe raisi.. ila LOW-HASA hawezi kuwa presidaa
 
Kikaragosi ni wewe mwenye njaa mpaka ----------- na Membe ili muendeleze Tabia zenu mbovu za kuchafua watu kwenye mitandao,
Mtu mwenyewe hajui hata kuandika alafu analeta pumba zake humu: Membe hafai duniani na hatakaa hafai popote pale....unafiki ndio kazi yake kubwa huyu jamaa.ila nashukuru watanzania tumemuelewa sasa.
 
Membe sio kwamba napenda awe raisi.. ila LOW-HASA hawezi kuwa presidaa
Na utabaki tu hivyo hivyo kaka huku kazi ikifanyika na mwakani Lwaiganan anatinga ikulu......Membe mumshauri either akalime au agombee ubunge au awe mkurugenzi mkuu wa WAMA
 
hata kigwangwala naye anautaka urais???? ama kweli ukistaajab ya musa!!

huyu membe si ndie mtetez mkubwa wa uraia wa nchi mbili kweli watanzania tutamuamini kumpa nchi??? nehi kabisa!!!
Asante mkuu.....anataka uraia pacha ili Nyalandu apate afueni best yake..........Ila Kigwangala ana uwezo mkubwa sana kuliko Membe mkuu
 
Yaani mkuu line ya kwanza tu ya bandiko lako umeanza na taarabu...!!!!
CCM inaelekea miezi hii kuna posho sana....yaan mtu akiuza utu wake kwa laki mbili huko kutoka kwa mgombea basi fasta anakuja jamvini kutuletea tabu humu
 
Kaka kwa hakika niamini mtu wa kushindana na Lowassa ndani ya chama hajazaliwa... na kwa uwazi kabisa akiletwa mtu kama Membe, Sijui january, Wassira, Migiro au Sitta mapema sana saa nane Dr Slaa kashatangazwa mshindi

Mkuu ocampo four kula like kubwa sana.......Kumshindanisha lowassa na Membe ni sawa sawa na kumshindanisha Jenerali Ulimwengu na Ramadhani Semtawa kwenye tasnia ya uandishi wa habari.....au kwa lugha nyepesi ni sawa na kumlinganisha Tembo na sisimizi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom