Bentley la Joseph Kusaga kupigwa mnada

Bentley la Joseph Kusaga kupigwa mnada

Kama mimi ndio Joseph kusaga na nina chenji zangu za kuweza kupambana na hii dhuluma ningehakikisha bandari sijui TRA awauzi chini ya bei nilionunua + jumlisha na kodi; huu ni utapeli kwakweli unakuta mtu kanunua gari $100,000 + $50,000 and more; halafu eti linauzwa kwa mnada chini ya hata huo ushuru waliokuwa wanataka achilia mbali thamani ya gari its not fair at all Joseph kusaga ana chenji ya kuweza kupambana na huu utaratibu sio wale ndugu zangu wa magari ya £ elfu mbili.
Mkuu utapeli kivipi? Unachekesha sana kiongozi.
 
Mkuu utapeli kivipi? Unachekesha sana kiongozi.
Uwezi kumuwekea mtu kodi + ushuru= thamani ya gari ulio kadiria; akishindwa kulipa halafu eti uende kumuuzia mtu mwingine at auction on a 1/3 of that price kama sio uporaji nini where is the fairness si ndio mazingira ya utapeli.
 
Dah atakuwa anamind sana kipindi anaenda ikulu kumsuprise mzee na birthday
 
UncleBen kuna dogo mmoja mtoto wa kigogo wa mstaafu polisi alikua akiuza kwa bei rahisi gari za namna hii
Tatizo haya magari ya thamani kubwa kwa bongo wakati mwingine huwa kama"ndoa ya kikristo" Hata hilo linaweza likanadiwa na asitokee mtu wa kulinunua
 
Uwezi kumuwekea mtu kodi + ushuru= thamani ya gari ulio kadiria; akishindwa kulipa halafu eti uende kumuuzia mtu mwingine at auction on a 1/3 of that price kama sio uporaji nini where is the fairness si ndio mazingira ya utapeli.


Kwanini ushindwe kulipa wakati unafahamu kabla ya kuagiza gari utaratibu jinsi ulivyo?
 
Kuna kipindi nilikuwa napitisha mizigo yangu kwa Jina la huyo Mzee wake akiwa pale Makao Makuu.. Ilikiwa full utamu raha, tukipitisha kipanga jioni tunaenda kula raha Slipway then nampa na sneakers mbili tatu mchezo umekwisha
Haha wewe kweli fisadikuu ,au sijui fisadijinga yaani umepitisha sneakers wakati wenzako walikua wanapitisha ma Vogue na Benz halafu zinalipiwa ushuru wa toothpick
 
Haha wewe kweli fisadikuu ,au sijui fisadijinga yaani umepitisha sneakers wakati wenzako walikua wanapitisha ma Vogue na Benz halafu zinalipiwa ushuru wa toothpick
Mkuu umenisoma vibaya, nilikuwa napitisha mizigo mingine ya maana tu sema yule dogo ni brazamen so namdakisha sneakers tunamaliza.. But he was a good friend those days
 
Nikipitia posts naziona chuki binafsi kwa mr.joseph kusaga
 
Kwanini ushindwe kulipa wakati unafahamu kabla ya kuagiza gari utaratibu jinsi ulivyo?
Swala sio kushindwa kulipa au utaratibu but what is fair uwezi kukipa kitu value ya nchi yako (kumbuka kuna mtu keshalipia baadhi tayari ya hiyo thamani mpaka limefika bandarini) halafu eti ukaliuze chini ya thamani yake mantiki nini sasa.

Kikakawaida unapouza kitu kama mdeni unatakiwa uchukue kilicho chako ina maana ukipita thamani ya kodi faida nyingine unamrudishia mwenye mali. Sasa kodi ya import sio deni la mkataba ni tozo tu za serikari unapoweka tozo ambazo mtu awezi kulipa halafu unauza bila ya kuzingatia thamani zako ulizoziweka mwenyewe kwa mtu mwingine maana yake nini si ndio uporoji kwanini sasa uweke valuation ambayo unajua ukijumlisha na kodi mtu atashindwa wakati uko tayari kumuuzia mwingine kitu kile kile kwa thamani ya chini si ni uizi huo.

Ifike wakati sasa kuwe na cap ya kodi za magari ya matumizi binafsi na isizidi $10000 hawa jamaa inabidi wawe wabunifu kutanua vyanzo vyao vya mapato sio kodi tu kila uchao na kutojali kabisa gharama za bidhaa kuna vitu wenzetu wanapeleka scrap sasa wakati tanzania bado vinapewa thamani ya juu na TRA
 
Swala sio kushindwa kulipa au utaratibu but what is fair uwezi kukipa kitu value ya nchi yako (kumbuka kuna mtu keshalipia baadhi tayari ya hiyo thamani mpaka limefika bandarini) halafu eti ukaliuze chini ya thamani yake mantiki nini sasa.

Kikakawaida unapouza kitu kama mdeni unatakiwa uchukue kilicho chako ina maana ukipita thamani ya kodi faida nyingine unamrudishia mwenye mali. Sasa kodi ya import sio deni la mkataba ni tozo tu za serikari unapoweka tozo ambazo mtu awezi kulipa halafu unauza bila ya kuzingatia thamani zako ulizoziweka mwenyewe kwa mtu mwingine maana yake nini si ndio uporoji kwanini sasa uweke valuation ambayo unajua ukijumlisha na kodi mtu atashindwa wakati uko tayari kumuuzia mwingine kitu kile kile kwa thamani ya chini si ni uizi huo.

Ifike wakati sasa kuwe na cap ya kodi za magari ya matumizi binafsi na isizidi $10000 hawa jamaa inabidi wawe wabunifu kutanua vyanzo vyao vya mapato sio kodi tu kila uchao na kutojali kabisa gharama za bidhaa kuna vitu wenzetu wanapeleka scrap sasa wakati tanzania bado vinapewa thamani ya juu na TRA

Mkuu umewahi agiza gari wewe?
 
Swala sio kushindwa kulipa au utaratibu but what is fair uwezi kukipa kitu value ya nchi yako (kumbuka kuna mtu keshalipia baadhi tayari ya hiyo thamani mpaka limefika bandarini) halafu eti ukaliuze chini ya thamani yake mantiki nini sasa.

Kikakawaida unapouza kitu kama mdeni unatakiwa uchukue kilicho chako ina maana ukipita thamani ya kodi faida nyingine unamrudishia mwenye mali. Sasa kodi ya import sio deni la mkataba ni tozo tu za serikari unapoweka tozo ambazo mtu awezi kulipa halafu unauza bila ya kuzingatia thamani zako ulizoziweka mwenyewe kwa mtu mwingine maana yake nini si ndio uporoji kwanini sasa uweke valuation ambayo unajua ukijumlisha na kodi mtu atashindwa wakati uko tayari kumuuzia mwingine kitu kile kile kwa thamani ya chini si ni uizi huo.

Ifike wakati sasa kuwe na cap ya kodi za magari ya matumizi binafsi na isizidi $10000 hawa jamaa inabidi wawe wabunifu kutanua vyanzo vyao vya mapato sio kodi tu kila uchao na kutojali kabisa gharama za bidhaa kuna vitu wenzetu wanapeleka scrap sasa wakati tanzania bado vinapewa thamani ya juu na TRA


Unaweza kutupa labda mfano wa nchi ambazo wanafanya tofauti na sisi ili tulinganishe wenzetu wanafanyaje unapoagiza gari ktuk nje ya nchi?
 
Mkuu umewahi agiza gari wewe?
Nimewasafirishia watu wengi sana kwa order huko; ata wewe kama unataka gari sema na nimeona watu wengi sana wakipoteza magari pia binafsi sina sababu ya kutuma gari sio kuagiza sijaishi huko moja kwa moja 20 years sasa matter of fact I have only spent 10 days during that period.
 
Swala sio kushindwa kulipa au utaratibu but what is fair uwezi kukipa kitu value ya nchi yako (kumbuka kuna mtu keshalipia baadhi tayari ya hiyo thamani mpaka limefika bandarini) halafu eti ukaliuze chini ya thamani yake mantiki nini sasa.

Kikakawaida unapouza kitu kama mdeni unatakiwa uchukue kilicho chako ina maana ukipita thamani ya kodi faida nyingine unamrudishia mwenye mali. Sasa kodi ya import sio deni la mkataba ni tozo tu za serikari unapoweka tozo ambazo mtu awezi kulipa halafu unauza bila ya kuzingatia thamani zako ulizoziweka mwenyewe kwa mtu mwingine maana yake nini si ndio uporoji kwanini sasa uweke valuation ambayo unajua ukijumlisha na kodi mtu atashindwa wakati uko tayari kumuuzia mwingine kitu kile kile kwa thamani ya chini si ni uizi huo.

Ifike wakati sasa kuwe na cap ya kodi za magari ya matumizi binafsi na isizidi $10000 hawa jamaa inabidi wawe wabunifu kutanua vyanzo vyao vya mapato sio kodi tu kila uchao na kutojali kabisa gharama za bidhaa kuna vitu wenzetu wanapeleka scrap sasa wakati tanzania bado vinapewa thamani ya juu na TRA
Mkuu ni afadhali kuna mahali umesema kwenye 20yrs umekaa tz siku kumi. Siku hizi ukiagiza gari unajua unatakiwa kulipa kiasi gani kabla hata gari haijafika. Kwa mujibu wa hii habari Mr JK bado ana zaidi ya mwezi kulipia hilo gari kabla halijapigwa mnada,so sio kwamba anafanyiwa njama apoteze hilo gari. Vile vile huyu jamaa ana hela hamna gari itakayomshinda kulipia ushuru, huyu mtu ana porche carerra 911,ana porsche cayenne atashindwa kulipia hio bentley tu? Kuna vitu nyuma ya pazia hatuvijui.
 
Unaweza kutupa labda mfano wa nchi ambazo wanafanya tofauti na sisi ili tulinganishe wenzetu wanafanyaje unapoagiza gari ktuk nje ya nchi?
Uwezi kuiweka kila nchi katika mizani sawa ushuru wa kuingiza gari mataifa makubwa ni sawa sandakalawe tu kama gari ni kwa matumizi binafsi unless kama linatoka nchi ambayo hakuna maelewano ata hiyo kodi zake ni ndogo sana.

Kikubwa hapo kuna block trade agreements kwa hivyo ata magari mapya kutoka nchi zenye makubaliano yanaagaliwa VAT na kodi za biashara kwa manufacture (provide manufacture kasajiliwa ndani ya nchi).

Kwa hivyo mazingira sio sawa na nchi maskini lakini ata hiyo VAT ata uko nako lazima iangaliwe kwa jicho la unit cost faida ya mtengenezaji na uwezo wa mnunuzi. Sasa inategemea kama serikari inataka ku-encourage sector kwa sababu ya kulinda ajira wapo tayari kuangalia VAT zao kutokana na mazingira ya uchumi in economic downturn sio ajabu wakazifuta kabisa na kama wapo kwenye neema aina maana ziwe kubwa kiasi kwamba iwe kikwazo kununua gari kutokana na hali halisi ya mfuko wa jamii na segment ya wanunuzi.

Sisi atutengenezi magari na ndio kwanza ni nchi maskini wakati watu wengi magari bado awana kuna kodi za kuwa mtu ndio maana mtu akiwa na mtumba tu wa Q7 anaweza kuwa sterling kwa sababu ya kodi wakati watu wengi sana wanashindwa kutuma hayo magari sio kwamba wanashindwa kuyanunua bali ongezeko la kodi; kumbuka gari pia linahitaji matengenezo, linanunua mafuta, vitu ambavyo pia vinalipiwa VAT vitu ambavyo vinajenga ajira na kuletea serikari kodi za kibiashara.

Serikari lazima iwe na ubunifu sio kukakamaa na mikodi mikubwa tu sidhani kama kuna nchi ina kodi kama za Tanzania kwenye magari tunaweza kuwa the most expensive in the world its time kuweka cap sasa sio hizi hadithi za kodi za $50000.
 
Uwezi kuiweka kila nchi katika mizani sawa ushuru wa kuingiza gari mataifa makubwa ni sawa sandakalawe tu kama gari ni kwa matumizi binafsi unless kama linatoka nchi ambayo hakuna maelewano ata hiyo kodi zake ni ndogo sana.

Kikubwa hapo kuna block trade agreements na magari mapya magari yanaagaliwa VAT na kodi za biashara kwa manufacture kwa hivy sio sawa na nchi maskini lakini ata hiyo VAT lazima iangaliwe kwa jicho la unit cost faida mtengenezaji na uwezo wa mnunuzi. Sasa inategemea kama serikari inataka ku-encourage sector kwa sababu ya kulinda ajira wapo tayari kuangalia VAT zao kama kutokana na mazingira ya uchumi if its economic downturn sio ajabu wakazifuta kabisa na kama wapo kwenye neema aina maana ziwe kubwa kiasi kwamba iwe kikwazo kununua gari kutokana na hali halisi ya mfuko wa jamii na segement ya wanunuzi.

Sisi atutengenezi magari na ndio kwanza ni nchi maskini wakati watu wengi magari bado awana ndi maana mtu akiwa na mtumba tu wa Q7 anaweza kuwa sterling kwa sababu ya kodi wakati watu wengi sana wanashindwa kutuma hayo magari sio kwamba wanashindwa kuyanunua bali ongezeko la kodi; kumbuka gari pia linahitaji matengenezo, linanunua mafuta, vitu ambavyo pia vinalipiwa VAT au kodi za kibiashara serikari lazima iwe na ubunifu sio kukakamaa na mikodi mikubwa tu sidhani kama kuna nchi ina kodi kama za Tanzania kwenye magari tunaweza kuwa the most expensive in the world.


Lakini lengo la Serikali kuweka au kuongeza kodi kubwa ni kupunguza uagizaji wa magari makuu kuu nchini, utaona kama ukinunua gari Mpya kabisa kodi siyo kubwa sana kama ukinunua gari mzee!
 
Nimewasafirishia watu wengi sana kwa order huko; ata wewe kama unataka gari sema na nimeona watu wengi sana wakipoteza magari pia binafsi sina sababu ya kutuma gari sio kuagiza sijaishi huko moja kwa moja 20 years sasa matter of fact I have only spent 10 days during that period.
Mkuu unaniangusha.
1. Kuishi nje sio sifa. Wanaoishi nje ni wengi kaka. Usiwe na imani, kwamba wewe pekee ndio unaishi nje mkuu.
2. Nchi gani waweza agiza au kununua gari na usijue makadirio ya ushuru wake?
3. Kama kweli umewahi uza hata gari moja, basi nashangaa kuona kuna mnada wa gari ambao imeshindikana kulipiwa kodi.
 
Back
Top Bottom