Hilo lita gombaniwa na VIGOGO wa TANZANIA nzima.... hapo wamefika!!Mkuu niambie lina mavitu gani humo ndani, duu huu utumbuaji unasaidia hii kitu ingeweza toka kwa msamaha
Hata hivyo kwake itakuwa ni hasara tu maana kaliagiza kwa pesa zake, halafu alinunue tena...!!!Atalinunua mnadani kwa bei ya kutupwa
anaweza akasamehewa, unakumbuka ile mikwara ya kufungia Star TV,Mkuu niambie lina mavitu gani humo ndani, duu huu utumbuaji unasaidia hii kitu ingeweza toka kwa msamaha
Amechelewa kuingiza amekuta awamu imepita.Huyu si ndio alikuwa anajipendekeza sana kwa yule jamaa wa msoga ! Media zake zilokuwa zinaibeba CCM. Alipe tu hamna namba nyingine
Unajua sheria za mnada wa TRA? Wao wanachotaka ni hela yao ya ushuru tu. Kama walikadiria ushuru 100m mnada ukifika 100m linauzwa. Hasara anapata alielilta maanake mnunuzi mpya atatoa 100m wakati bei jumla ingefika 300m[ mfano tu sio bei halisi].Atalinunua mnadani kwa bei ya kutupwa
Mmmmh used ni kama Vitz tu nlizani jipya aseee atalikuta tu, by da way naskia mondi nae alikua akitaka kununua akalikomboe tuAisee hilo dude ni hatari sana.. Dah.. Siku ya mnada kama vipi aende akalinunue mwenyewe
Mleta hoja ni msomaji mzuri wa gazeti la MWANANCHI!Mleta hoja unatumia gati gani?