Kamkuki
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 1,957
- 1,431
Daah...hii atakuwa anadaiwa kodi ndefu. Jamaa aliagiza Posche Cayene (SUV) ya 2010 alidaiwa 60+mil. Sasa hii Bentley mkasi wake utakuwa hataree
Ivi kumbe ni gari kali ki-vile eeeh!
Daah...hii atakuwa anadaiwa kodi ndefu. Jamaa aliagiza Posche Cayene (SUV) ya 2010 alidaiwa 60+mil. Sasa hii Bentley mkasi wake utakuwa hataree
Hapo hujaweka ambao walikua wakipiga kavu kavu, hao ni zaidi ya hao wa pipa 30. Ukimwi na STDs zimesambaa sana thru Fiestana ofcoz mbio za MwengeImportation ya haya magari yanatumia dola nyingi sana kupelekea kushusha thamani ya Tshs.
Najivunia kumchagua Dr.Magufuli maana dhambi za fiesta zimepungua sana. Kila mkoa kwny fiesta walikuwa wanaokota Pipa la Condom ukizidisha idadi ya Mikoa unapata karibia pipa 30!!!!!
Nimeona niweke "bei elekezi" ya hio gari ikiwa used huko Uingereza, kabla le KING hajapiga nayo picha na kudai "gari ina thamani ya mil 600 na atayebisha ni mburulazz!" 😀😀
![]()
Price Reduced
2005 (Y) - Bentley Continental Flying Spur Flying Spur 5 Seats Auto 4-Door
£27,995
Reduced by £1,000 was £28,995
- 6L
- Saloon
- Automatic
- Petrol
- 63,000 miles
source: http://www.motors.co.uk/used-cars/bentley/continental-flying-spur/?page=1&sort=1
Baba swaleheNimeona niweke "bei elekezi" ya hio gari ikiwa used huko Uingereza, kabla le KING hajapiga nayo picha na kudai "gari ina thamani ya mil 600 na atayebisha ni mburulazz!" 😀😀
![]()
Price Reduced
2005 (Y) - Bentley Continental Flying Spur Flying Spur 5 Seats Auto 4-Door
£27,995
Reduced by £1,000 was £28,995
- 6L
- Saloon
- Automatic
- Petrol
- 63,000 miles
source: http://www.motors.co.uk/used-cars/bentley/continental-flying-spur/?page=1&sort=1
Umekosea. Mnada wa TRA wanajumlisha CIF na kodi zote ndii inakuwa bei ya kuuzia mnadani. Aliyenunua mnadani akishalipa TRA inachukua stahiki yake ya kodi. Zilizobaki zinarudishwa kwa mmiliki wa kwanza ikiwa atadai ndani ya mwaka mmoja. Lakini, kabla ya mmiliki huyo kulipwa gharama za bandari lazima zikatwe. Hapo ndio unaambulia zero.Unajua sheria za mnada wa TRA? Wao wanachotaka ni hela yao ya ushuru tu. Kama walikadiria ushuru 100m mnada ukifika 100m linauzwa. Hasara anapata alielilta maanake mnunuzi mpya atatoa 100m wakati bei jumla ingefika 300m[ mfano tu sio bei halisi].
Umeshawahi kununua gari kwenye mnada wa TRA? Kama hivyo usemavyo ndivyo basi kusingekuwa na faida yoyote kununua gari mnadani.Umekosea. Mnada wa TRA wanajumlisha CIF na kodi zote ndii inakuwa bei ya kuuzia mnadani. Aliyenunua mnadani akishalipa TRA inachukua stahiki yake ya kodi. Zilizobaki zinarudishwa kwa mmiliki wa kwanza ikiwa atadai ndani ya mwaka mmoja. Lakini, kabla ya mmiliki huyo kulipwa gharama za bandari lazima zikatwe. Hapo ndio unaambulia zero.
Mnada wa TRA hauna maana ya kununua kwa bei rahisi. Mimi ni mdau mkubwa wa kodi za forodha. Niko sahihi, jaribu kuuliza. Na kama wakati wa kuuza hakuna mnunuzi aliyefika bei waliyopanga haliuzwi. Ikitokea hivyo sheria inataka liharibiwe ili lisitumike popote.Umeshawahi kununua gari kwenye mnada wa TRA? Kama hivyo usemavyo ndivyo basi kusingekuwa na faida yoyote kununua gari mnadani.
Asante kwa taarifa,nitafanya uchunguzi zaidi.Mnada wa TRA hauna maana ya kununua kwa bei rahisi. Mimi ni mdau mkubwa wa kodi za forodha. Niko sahihi, jaribu kuuliza.
Siku nyingine ukiwa na swali kuhusu uingizaji wa mzigo au gari niulize. Majibu yako kichwani.Asante kwa taarifa,nitafanya uchunguzi zaidi.
Si ndio huu mpunga kanunulia bentley.. Mipesa ya bure bure na gate no 5 sasa hivi ni utata mtupu.. DadekiHuyo ndiye aliyeikodishia serikali ya JK microphone na spika ujio wa Obama kwa sh 160m
Nimehudhuria hio minada kuna magari nilitaka kununua nikashindwa yaliuzwa kwa gharama zake za ushuru tu sasa sijui ilikuwaje.Siku nyingine ukiwa na swali kuhusu uingizaji wa mzigo au gari niulize. Majibu yako kichwani.
Wee acha tu ,hii nchi watu wamekula banaSasa ushuru wa hivi plate si itakuwa laki tisa na nisu kwa kila kontena?
Bei elekezi ndio uchague 11yrs old Bentley? Ungechagua hata ya 2010 hivi maanake uchakavu wa GBP 28,000(tzs 95m) sio mchezo!Nimeona niweke "bei elekezi" ya hio gari ikiwa used huko Uingereza, kabla le KING hajapiga nayo picha na kudai "gari ina thamani ya mil 600 na atayebisha ni mburulazz!" 😀😀
![]()
Price Reduced
2005 (Y) - Bentley Continental Flying Spur Flying Spur 5 Seats Auto 4-Door
£27,995
Reduced by £1,000 was £28,995
- 6L
- Saloon
- Automatic
- Petrol
- 63,000 miles
source: http://www.motors.co.uk/used-cars/bentley/continental-flying-spur/?page=1&sort=1
Aliyetoa siri gani mkuu?Huyo aliyetoa siri hii..Awajibishwe haraka sana.Sidhani kama kisheria inaruhusiwa hii..