Bentley la Joseph Kusaga kupigwa mnada

Bentley la Joseph Kusaga kupigwa mnada

Huyo Jo Kusaga atalipia ukizingatia kodi anayodaiwa Na watoza ushuru haufikii Ata chembe ya matangazo ya biashara ya media zake kwa mwezi. Kikwete alifanya watu wanenepeane Na kusahau kama Kuna kitu kinaitwa TRA.
 
Used kakaaa hyo ingekua mang'anyu sawa hamna lolote au kama vipi auze clouds fm kwa lowassa akomboe gari
Haha sawa Shark ,huyo jamaa sidhani kama amekosa hela ya kulipia hiyo gari ,sema ni kwa sababu alizoea vya kunyonga ndio alikua anacheki upepo unaelekea wapi

Hebu cheki hiyo list ya used Bentley continental kabla ya kulipiwa ushuru halafu piga na mahesabu baada ya kulipiwa ushuru ,niambie unanunua Virtz ngapi
 

Attachments

  • 1456068081759.jpg
    1456068081759.jpg
    63.5 KB · Views: 44
Hata hivyo kwake itakuwa ni hasara tu maana kaliagiza kwa pesa zake, halafu alinunue tena...!!!
Halipii chochote zaidi ya ushuru unaotakiwa. Labda atokee mtu waanze kupandishana dau
 
Haha sawa Shark ,huyo jamaa sidhani kama amekosa hela ya kulipia hiyo gari ,sema ni kwa sababu alizoea vya kunyonga ndio alikua anacheki upepo unaelekea wapi

Hebu cheki hiyo list ya used Bentley continental kabla ya kulipiwa ushuru halafu piga na mahesabu baada ya kulipiwa ushuru ,niambie unanunua Virtz ngapi
hii ni bentley continental flying spur......expensive than bentley continental GT
 
hii ni bentley continental flying spur......expensive than bentley continental GT
Oh sawa hiyo price niliyoweka ni ya Bentley continental GT ,nlikua najaribu kumwonyesha shark anayesema ni sawa na Vitz tu ,

Nina swali hapa Features za GT na FS kwa mbele tofauti yake ni nini ??
 
Oh sawa hiyo price niliyoweka ni ya Bentley continental GT ,nlikua najaribu kumwonyesha shark anayesema ni sawa na Vitz tu ,

Nina swali hapa Features za GT na FS kwa mbele tofauti yake ni nini ??
GT ni sporty coupe[two doors].....FS ni four dour saloon in fact the fastest four door saloon in the world over 200MPH
 
Haha sawa Shark ,huyo jamaa sidhani kama amekosa hela ya kulipia hiyo gari ,sema ni kwa sababu alizoea vya kunyonga ndio alikua anacheki upepo unaelekea wapi

Hebu cheki hiyo list ya used Bentley continental kabla ya kulipiwa ushuru halafu piga na mahesabu baada ya kulipiwa ushuru ,niambie unanunua Virtz ngapi
Huyu alizoea kupitishia mlango wa nyuma, pengine mpaka hivi inacheleweshwa ni kua alikua akijaribu kufanya manuva, ambayo yamegonga mwamba. Ila kaka hizi gari bana ukikomaa haziko expensive kivile.
 
Huyu alizoea kupitishia mlango wa nyuma, pengine mpaka hivi inacheleweshwa ni kua alikua akijaribu kufanya manuva, ambayo yamegonga mwamba. Ila kaka hizi gari bana ukikomaa haziko expensive kivile.
Hahah ni kweli Shark ukikomaa sio ishu ,Shark unamiliki migodi nini ??
 
GT ni sporty coupe[two doors].....FS ni four dour saloon in fact the fastest four door saloon in the world over 200MPH
GT zipo kama tano hapa town ila FS ipo moja tu ina private plate ARIS
Oh asante sana kwa ufafanuzi ,unaposema ndio Fastest 4 Door Saloon ,vipi kwa S500 au S600 au pengine S350 ??
 
Importation ya haya magari yanatumia dola nyingi sana kupelekea kushusha thamani ya Tshs.
Najivunia kumchagua Dr.Magufuli maana dhambi za fiesta zimepungua sana. Kila mkoa kwny fiesta walikuwa wanaokota Pipa la Condom ukizidisha idadi ya Mikoa unapata karibia pipa 30!!!!!
 
UncleBen kuna dogo mmoja mtoto wa kigogo wa mstaafu polisi alikua akiuza kwa bei rahisi gari za namna hii
Hao washenzi wa Morogoro kwani ushuru walikua wanalipia ?? Si wanalipia ushuru wa disposable plates kumbe ndani ya kontena kuna Bentley
 
Back
Top Bottom