Bentley la Joseph Kusaga kupigwa mnada

Bentley la Joseph Kusaga kupigwa mnada

Mkuu umenisoma vibaya, nilikuwa napitisha mizigo mingine ya maana tu sema yule dogo ni brazamen so namdakisha sneakers tunamaliza.. But he was a good friend those days
Hahaha haya bana Mkuu ,hongereni kwa kula nchi
 
Lakini lengo la Serikali kuweka au kuongeza kodi kubwa ni kupunguza uagizaji wa magari makuu kuu nchini, utaona kama ukinunua gari Mpya kabisa kodi siyo kubwa sana kama ukinunua gari mzee!
Ebu tupe thamani ya kodi ya gari linalo nunuliwa tuseme £70000 halafu tuone fairness na kama kweli sera ni encouragement ya magari mapya. Kitu kingine sio magari yote yana equal durability mtu anaenunua range rover lenye miaka kumi na Noah ujue kuna gap kubwa sana ya life span hapo sasa una limit mtu kuleta gari ambalo bado lina maisha zaidi ya kumi mingine katika nchi maskini kisa kodi.

Bandari aiwezi kutumika kama n'gombe wa maziwa serikari lazima ibuni vyanzo vya mapato kupitia uzalishaji wa ndani hizo ndio reliable sources sio kutaka kukamua watu wamoja wamoja wanaotaka kujipongeza kwa ubunifu wao wakati bado wanalipa kodi na wana ajiri watu.
 
Ebu tupe thamani ya kodi ya gari lilinunuliwa tuseme £70000 halafu tuone fairness halafu sio magari yote yana equal durability mtu anaenunua range rover la lenye miaka kumi na Noah ujue kuna gap kubwa sana ya life span hapo sasa una limit mtu kuleta gari ambalo bado lina maisha zaidi ya kumi mingine katika nchi maskini kisa kodi.

Bandari aiwezi kutumika kama n'gombe wa maziwa serikari lazima ibuni vyanzo vya mapato kupitia uzalishaji wa ndani hizo ndi reliable sources sio kutaka kukamua watu wamoja wamoja wanaotaka kujipongeza kwa ubunifu wao wakati bado wanalipa kodi na wana ajiri.


Kinachoangaliwa ni umri wa gari basi na haijalishi ni aina gani, kama ukiwa na gari mpya unalipa kidogo ikilinganisha na gari mzee!
 
Tatizo haya magari ya thamani kubwa kwa bongo wakati mwingine huwa kama"ndoa ya kikristo" Hata hilo linaweza likanadiwa na asitokee mtu wa kulinunua
Kuna watu hawaoni tabu kuagizia hata ball joint UK au USA Mkuu, hivyo kibishi bishi lazima watakuwepo tu
 
Mkuu unaniangusha.
1. Kuishi nje sio sifa. Wanaoishi nje ni wengi kaka. Usiwe na imani, kwamba wewe pekee ndio unaishi nje mkuu.
2. Nchi gani waweza agiza au kununua gari na usijue makadirio ya ushuru wake?
3. Kama kweli umewahi uza hata gari moja, basi nashangaa kuona kuna mnada wa gari ambao imeshindikana kulipiwa kodi.
Kwangu sio issue kabisa kuishi nje swala hapa ni uhalali wa kodi zinazotozwa Tanzania + gharama za mnunuzi ndani ya Tanzania.

Mtu akishindwa kulipia gharama za tozo kuuza chini ya cost zake + VAT ulizoweka kupitia mnada ni uporaji kwa sababu hakuna justification ya criteria ulizoweka wewe unachofanya ni kwamba ujali hela alizotumia bali zako unazotaka in other words unampa zawadi mtu ambaye ananunua mnadani maana asingeweza na yeye kununua huko lilipotoka, kulilipia ushuru uliocharge kwa aliyelileta ndio maana analinunua mnadani vinginevyo angefanya.

Kwa hivyo to be fair liuzwe kwa quote uliyompa mwagizaji vinginevyo ni utapeli tu.
 
Kwanini ushindwe kulipa wakati unafahamu kabla ya kuagiza gari utaratibu jinsi ulivyo?
Pengine ulishajipanga likija utalipitisha kama Vitz au Passo (kama walivyozoea kufanyaga) lakini sasa kimesanuka imeshindikana
 
Kuna watu hawaoni tabu kuagizia hata ball joint UK au USA Mkuu, hivyo kibishi bishi lazima watakuwepo tu
Ni kweli mkuu, ila mengine tunayaona mjini humu yamekuwa kwa jina maarufu yanaitwa pilau. Gari aina nyingine lakini ukilichunguza limefugwa parts za kila aina ya gari.
 
Hamna sheria inayosema Joseph Kusaga, directly or otherwise. anazuiwa kwenda ku-bid kwenye TRA auction-off ya gari yake mwenyewe . Anaweza kuinunua for much less dineros ukilinganisha na kodi waliyomchaji.
 
Kama mimi ndio Joseph kusaga na nina chenji zangu za kuweza kupambana na hii dhuluma ningehakikisha bandari sijui TRA awauzi chini ya bei nilionunua + jumlisha na kodi waliyotaka alipe yeye.

Huu ni utapeli kwakweli unakuta mtu kanunua gari $100,000 + $50,000 ya ushuru or more; halafu eti linauzwa kwa mnada chini ya hata huo ushuru tu waliokuwa wanautaka achilia mbali thamani ya gari yenyewe its not fair at all Joseph kusaga ana chenji ya kuweza kupambana na huu utaratibu sio wale ndugu zangu wa magari ya £2000.

Huu ujinga ndio unaofanya Q7, Vogue na Cayene za 2007 zilizoshuka thamani mpaka kwa £4000 unaweza kuifuma nchi za nje bongo bado yaonekane magari ya thamani kodi za bandari ni kichefu chefu.
Umeambiwa bandari inataka kumdhulumu au inataka kodi halali acha udwanzi ww
 
Nimeona niweke "bei elekezi" ya hio gari ikiwa used huko Uingereza, kabla le KING hajapiga nayo picha na kudai "gari ina thamani ya mil 600 na atayebisha ni mburulazz!" 😀😀

AETV17392368_1c.jpg

Price Reduced
2005 (Y) - Bentley Continental Flying Spur Flying Spur 5 Seats Auto 4-Door
£27,995
  • 6L
  • Saloon
  • Automatic
  • Petrol
  • 63,000 miles
Reduced by £1,000 was £28,995

source: http://www.motors.co.uk/used-cars/bentley/continental-flying-spur/?page=1&sort=1


Kama hapo ni used ya 2005...
Na imetembea millage hiyo...

Ni million zaidi za 25 ikiwa uk

Usafiri na ushuru??

Any way jamaa ali over estimate I reasonably doubt kama inaeza kufikia 600M Tzs

But then that is the used car bro probably he was right boss...

If at all he was talking the brand new wheep say the made of the year he said Boss..



Labda ikiwa brand new inaeza kuwa how much to begin with?
 
Hii nitaifuatilia mpaka nihakikishe amelipa.Ole wao walete ujanja,Uzuri wa majipu yote yameota kwa mi Ccm yenyewe na mi kada yao.
Wewe Kibo 01 usiweke mikwala
Sasa unamtisha nani? Au iweje?
Mi CCM imeingiaje hapa?
Chuki chuki chuki
 
Umeambiwa bandari inataka kumdhulumu au inataka kodi halali acha udwanzi ww
Put it this way kama mfano

Reference Number 1516320830
Make: LANDROVER
Model: RANGE ROVER AUTOBIOGRAPHY / SUPERCHARGED / WESTMINISTER
Body Type: SUV
Year of Manufacture: 2015
Fuel Type: DIESEL
Engine Capacity: 2501 CC & ABOVE
Customs Value CIF (USD): 122236.75
Total Import Taxes (USD): 78659

Total Import Taxes (TSHS): 172420528
Vehicle Registration Tax (TSHS): 440000.00


Ukijumlisha custom valuation (maana hawa jamaa awajali gali umelinunua vipi wao wanautaratibu wao mwingine kabisa wakufanya valuation) jumlisha na kodi wanayotaka ina maana gari linathamani ya USD roughly 200,896

Kumbuka haya magari huko yanapotoka yanaendeshwa na matajiri pia na watu wamefanya research zao za price na hiyo bei ndio wanayodhani ni sahihi sasa kwa bongo ukiona mtu anaedesha hilo gari we mueshimu tu maana ata huyo mzungu ajalinunua kwa thamani ya ndugu yetu (mwenye adhabu ya TRA kisa tajiri) let alone ukute huyo mzungu huko keshafanya part exchange na gari lingine halafu bado ana hire purchase payments plan.

Sasa gari uliolipa thamani ya zaidi USD 200,000 kesho ulipeleke auction halafu uliuze kwa lets say USD 100,000 ndio unapata kodi yako hila gari linakuwa ata huko lilikotoka huyo mnunuzi asingelipata kwa hiyo bei na wala cost azilingani kabisa na gharama ambazo zingemkuta aliyelileta.

Wakati mwenye gari kashindwa kuligomboa kwa sababu tayari kuna hela za manunuzi ata yeye mwingine akileta ukimpa kodi zako akashindwa ukalipeleka mnadani analimudu easily kwa hivyo inakuwa mazingira ya kuviziana kisa ushuru wa TRA.

Unaona unfairness inapokosekana lets face it TRA sio bank, wao wanapofanya hivyo kuchukua nyumba na kuzinada ni kama mali yao maana wameilipia wao ndio maana wanaipiga mnada ukishindwa kulipa ili waweze kuchukua chao.

Hawa TRA wamechangia wapi kwenye hizo USD 122,237 za kununua gari mpaka wapate uhalali wa kuliuza chini ya thamani halisi kwa criteria walizoziweka wao hapo ndio kasoro zilipo. Gari lisiuzwe chini ya thamani waliyotaka kuna gharama za mtu tayari ndio maana mwingine anaweza linunua mnadani wakati nayeye angefanya kama mwenzie pengine yangemkuta mazingira hayo hayo this why the whole thing is immoral.
 
Oh sawa hiyo price niliyoweka ni ya Bentley continental GT ,nlikua najaribu kumwonyesha shark anayesema ni sawa na Vitz tu ,

Nina swali hapa Features za GT na FS kwa mbele tofauti yake ni nini ??
Headlights
 
Kusaga alibugi timing, ALITEGEMEA ASILIPE KODI ATOE BURE, i hope alijua atamuwahi JK kabla ya kutoka madarakani au angewatongoza viongozi wa Bandari kwa Hongo ili atoe bila kulipa KODI... sasa ndio atajuta... nyambaf... ALIPE KODI YETU HARAKA tunahitaji haraka sana, kuna WATOTO wanakaa chini...

Alikuwa anajipendekeza kwa JK like houseboy utafikiri... damn, sasa Magufuli hana upuuzi huo... hapa kazi tu...
 
Back
Top Bottom