petrinamwana
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 900
- 345
Hehehe ulipota kazi hehe kakimbilia kuandika huku kumbe but watu wanauana amesharipoti anatoka nje wezi wamekamatwa n.a. viroba via mihela kakimbilia ndani kuja kuripoti akirudi nje shughuri imeishaaa hahahaha kazi as watu bana hapa chezeaa siku nyingine unangalia movie mpaka iishe hehe tena unachukua n.a. movie kabisa uhondo utakupita hadi urudi ndani see ngapi