hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
Najua kuna watu wa bank kuu hapa.
Me naona Pitieni tena Sheria zenu Kwa hawa watu au msimamishe huduma mpaka wajipange tena.
How napigiwa simu 50 na msg 100 naambiwa nimemdhamini mtu kuchukua ela kwao na nimeshirikiana Nae kutapeli?
Kwanini wakati wanapeana Mikopo hawakupiga simu kwangu kuniuliza au kunifahamisha?
Nilituma E mail TCRA wao wakasema BOT ndio wanahusika moja Kwa moja
Thank you
Me naona Pitieni tena Sheria zenu Kwa hawa watu au msimamishe huduma mpaka wajipange tena.
How napigiwa simu 50 na msg 100 naambiwa nimemdhamini mtu kuchukua ela kwao na nimeshirikiana Nae kutapeli?
Kwanini wakati wanapeana Mikopo hawakupiga simu kwangu kuniuliza au kunifahamisha?
Nilituma E mail TCRA wao wakasema BOT ndio wanahusika moja Kwa moja
Thank you