mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 473
- 1,448
ipo hivi mimi ni mwalimu, mfanyabishara na mkulima , mimi ni mkopaji mzuri sana , nilikuwa na mkopo kupitia salary nilikopa 2019 NMB, nimekuwa na mkopo wa biashara nimekopa CRDB, kwa sasa nimemaliza deni nadaiwa na bodi tu ya mikopo, nina uhitaji tena wa pesa kama milioni mia moja tu.
Nipeni ipi bank nzuri nikope. Ushauri wako uandane na uhalisia na vigezo.
Nipeni ipi bank nzuri nikope. Ushauri wako uandane na uhalisia na vigezo.