Amini usiamini Mkapa alikuwa ni mtu sahihi kabisa kuchukua nchi ile ktk wakati sahihi na kwa mda muafaka.
Nakumbuka sana enzi hizo kabla ya Mkapa amini usiamini mishahara wafanyakazi ilikuwa miezi mitatu ama zaidi ndio unapata ,ndicho kipindi serikali ilistop kufundisha waalimu na kuajili walimu angalia hii BOGUS asingetokea Mkapa .
mimi nafikiri ni ujuha tu kwamba mtu kama Mkapa lazima angetenda mema tuu mwanzo hadi mwisho ,binadamu yeyote anatamani,ana mapungufu ila nafikiri kinachotakiwa kufanyika ni kuangalia Binadamu huyo ana nia gani juu ya binadamu wezake.
Tumesimuliwa ktk hadithi,ijili nk mfano Musa ,Abrahamu ,Daudi ,Samsoniwalivyokuwa wanaongea na Mungu moja kwa moja na kutumwa kuchunga kondoo lakini pamoja na sauti hiyo ya Mungu kuna wakati walikuwa wanawatelekeza kondoo na kufanya mambo yao,ije kwa poor Mkapa??
Nakumbuka sana enzi hizo kabla ya Mkapa amini usiamini mishahara wafanyakazi ilikuwa miezi mitatu ama zaidi ndio unapata ,ndicho kipindi serikali ilistop kufundisha waalimu na kuajili walimu angalia hii BOGUS asingetokea Mkapa .
mimi nafikiri ni ujuha tu kwamba mtu kama Mkapa lazima angetenda mema tuu mwanzo hadi mwisho ,binadamu yeyote anatamani,ana mapungufu ila nafikiri kinachotakiwa kufanyika ni kuangalia Binadamu huyo ana nia gani juu ya binadamu wezake.
Tumesimuliwa ktk hadithi,ijili nk mfano Musa ,Abrahamu ,Daudi ,Samsoniwalivyokuwa wanaongea na Mungu moja kwa moja na kutumwa kuchunga kondoo lakini pamoja na sauti hiyo ya Mungu kuna wakati walikuwa wanawatelekeza kondoo na kufanya mambo yao,ije kwa poor Mkapa??