Benjamin Mkapa: Watanzania mtanikumbuka

Benjamin Mkapa: Watanzania mtanikumbuka

Jamani kila nyakati na mambo yake,mamboleo haya tunayotumia ndiyo yanayotufanya kuhisi/kuona kwamba hali ni ngumu lakini kumbe dunia ni ile ile na mambo ni yale yale hata aje nani.

Kwa mtizamo wangu wa kulaumiwa si wale wenye madaraka bali ni mfumo mzima wa dunia ya leo ya utandawazi ambao mwasisi wake kwa upande karibu wate wa maziwa makuu ni Rais mtaafu Benjamini William Mkapa ambaye nae pia kwa wakati ule hakuwa ya namna ya kuukwepa.

Vivyo hivyo hata wale watakaokuja lazima tu watakutana na changamoto za utandawazi uliokomaa,maana kizazi cha wakati huo kitakuwa tofauti na sasa.Ndio maana leo hii wapo waliopinga sera za Awamu ya kwanza,pili na tatu na wapo ambao wanazi-support sera hizo kitu ambacho si dhambi.

Cha msingi tu ndugu zangu hapa hakuna wa kulaumiwa huu ni wakati wa kuchangamkia fursa zilizopo.
 
Ni kweli kabisa hata ndani ya familia baba akiwa dhaifu ni hatari sana mkapa alisimama kiukweli kama alikwiba basi alijua kula na vipofu kiliko haya eti hata lizimoja anajichukulia tu rasilimali za watanzania kweli tz imekua shamba la bibi wezi wakubwa wanyonyaji viongozi nyinyi hamuogopi hata mungu mnajilimbimizia mali huku umati wa watanzania ukiangamia kwa umasikini vifo elimu duni afya mbovu mtanzania mtumwa ndani ya nchi yake ananyanyaswa anateswa ole wenu enyi viongozi wa dunia msotoa hukumu ya khaki kwa mara ya kwanza naichukia ccm kwa mara ya kwanza namchukia baba mkubwa huyu nilizani tabasam lile ni huruma na upendo kumbe anatumaliza huku anatuchekea nawe mama cholo msaidizi gani usiyemwambia mume hili hapana unakose mpz ktk hali ya mahaba i hate you

shida uwezo mdogo!
 
Matatizo ya sasa ambayo Jk anaonekana ndo tatizo..chanzo ni mkapa..


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mkapa alikuwa jembe!Aliwapa dozi yao waandishi wa habari ambao asilimia kubwa wana uelewa mdogo sana!ingawa wana platform za kusemea na kuambukiza watu masikini wa nchi hii ujinga ili matajiri na wenye mamlaka watawale milele wakikandamiza wanyonge!Alikuwa shujaa wa uchumi na thabiti katika kauli zake.Hakuwa muongo bali aliusema hata ukweli mchungu!Sikumwamini,nikamwamini na ninamheshimu sana kwa kuwa sipendi kudanganywa!
 
Benjamin Mkapa alikuwa ni Reformer,alijitahidi kufanya reforms nyingi sana alipoingia madarakani,na moja ya hizo ni local government reforms,ni maoni yangu kama Serikali ya awamu ya 4 ingeendeleza pale alipoishia sasa hivi tungekuwa tunaongelea mambo mengine,alikuwa na mapungufu yake pia lakini alijitahidi sana.He is a reformer na ana sifa za kuwa reformer,hataki mchezo,na Rais ajae wa Tanzania itambidi afanye radical Economic and Political reforms kwa kweli kututoa hapa tulipo..
 
Mkapa ana mabaya yake ila alikuwa Raisi mwenye mamlaka tofauti na huyu Msanii wa sasa. Raisi wa wapi anahutubia jambo muhimu kwa nchi huku anajchekesha hata kama siio jambo la kuchekesha.
 
Benjamin Mkapa alikuwa ni Reformer,alijitahidi kufanya reforms nyingi sana alipoingia madarakani,na moja ya hizo ni local government reforms,ni maoni yangu kama Serikali ya awamu ya 4 ingeendeleza pale alipoishia sasa hivi tungekuwa tunaongelea mambo mengine,alikuwa na mapungufu yake pia lakini alijitahidi sana.He is a reformer na ana sifa za kuwa reformer,hataki mchezo,na Rais ajae wa Tanzania itambidi afanye radical Economic and Political reforms kwa kweli kututoa hapa tulipo..

nakuunga mkono mkuu.
 
Binadam tuna mapungufu mengi, lakin tuangalie mazuru pia halafu tuweke kwenye mizani, BIG UP Ben Mkapa alifanya mengi mazuri, Wana mtandao walijaribu kumchafua lakin maneno yao hayawaingii waTz. Hakika tutamkumbuka!!!
 
Mimi namkumbuka kwa yafuatayo;

1. Kuuza NBC kwa bei ya kutupa kwa makaburu
2. Kupora mgodi wa Kiwira
3. Mauaji ya wapemba
4. Kifo cha Mwalimu Nyerere
5. Vifo vya watanzania kwenye ajali za MV Bukoba na Ajali ya Treni Dodoma
6. NET Group Problem
7. Kukimbia asili yake na kwenda kuweka makazi Lushoto - jasiri haachi asili
8. Baba wa Taifa wa ufisadi wote nchi hii

Nina mengi ya kumkumbuka Mkapa hayo machache tu, kweli ninamkumbuka nadhani ametuachia urithi mzuri wa ufisadi

Umeongea ukweli mtupu. Tatizo la wachangiji wa mada hii naona kama vile hawana info na kumbukumbu za serikali ya mkapa au wanaukwepa ukweli ya mambo makusudi. Watz wengi hatutafiti mambo kupata uharisia wake badala yake uongozwa na ushabiki, itikadi za vyama, dini na ukanda. Jeuri na matumizi ya hovyo ya mali za umma, ufisadi na uzalilishaji wa viongozi wa vyama vya upinzania vilishamili sana ktk utawala wa Ben Mkapa. Watu waongelea kukua kwa uchumi wakati wa Ben lkn wanasahau miundombinu ya reli zetu zimekufa mikononi mwake! Jeuri ya viongozi wa serikali kujimilikisha mali za umma kama magari na nk kwa majina yao binafsi! Viongozi kujiuzia nyumba za umma ktk maeneo nyeti ktk miji mbalimbali nchi hasa DSM. Ufisadi wote mkubwa unaoliteza taifa kwa kiasi kikubwa ulipaliliwa na serikali ya Ben na CCM yake.
 
despite his wiknesses, he tried to maintain economic status ya nchi. Imagne he went to power frm mzee ruska where in the hazina ya nch was empty, alot of debts, inflation juu mbaya! He managed to kip da nation back into shape co mchezo. Mkapa m2 wa kaz alyetambua nfs yake! Hata ww ungepata nafas kma yake pengne na ww ungtaka uwe na financial security in future c maintain da status. Mkapa jembe, m2 wa kaz na hana porojo porojo. Unajua afrika bila rais dictactor ngumu mambo kwnda! Lazma 2buruzwe mambo yaende by puttng pple into dere places!
 
Umeongea ukweli mtupu. Tatizo la wachangiji wa mada hii naona kama vile hawana info na kumbukumbu za serikali ya mkapa au wanaukwepa ukweli ya mambo makusudi. Watz wengi hatutafiti mambo kupata uharisia wake badala yake uongozwa na ushabiki, itikadi za vyama, dini na ukanda. Jeuri na matumizi ya hovyo ya mali za umma, ufisadi na uzalilishaji wa viongozi wa vyama vya upinzania vilishamili sana ktk utawala wa Ben Mkapa. Watu waongelea kukua kwa uchumi wakati wa Ben lkn wanasahau miundombinu ya reli zetu zimekufa mikononi mwake! Jeuri ya viongozi wa serikali kujimilikisha mali za umma kama magari na nk kwa majina yao binafsi! Viongozi kujiuzia nyumba za umma ktk maeneo nyeti ktk miji mbalimbali nchi hasa DSM. Ufisadi wote mkubwa unaoliteza taifa kwa kiasi kikubwa ulipaliliwa na serikali ya Ben na CCM ya
ke.
Umemaliza mkuu !!
Tatizo letu Watanzani ni wavivu kufikiri na wepesi kusahau, Ben huwezi kumsafisha hata kwa jiki akatakata ktk utawala wake asilimia kubwa ya mikataba yote mibovu yeye ndio kaibariki leo eti tunamsafisha duuu aisee sisi kweli mazezeta.
 
Baada ya vyombo vya habari vilivyokuwa vimenunuliwa na genge la mtandao kumsakama sana kwa habari nyingi za kumponda. Mkapa aliwahi sema maneno machache sana kuwa Watanzania tutamkumbuka.

Kwa kweli hali ya nchi iliyopo saizi hakika jamaa tutamkumbuka tu, tutake tusitake. Nchi kila kitu kinaenda hovyo, na wanaonufaika ni wachache waliokuwa vinara wa hilo genge. Hakika sipati picha itakapofika 2014 hali itakuwaje. Saizi hela haina thamani kabisa, naamini soon BOT itaprint note zingine za elfu 20 na elfu 50. Ki ukweli buku 10 haina thamani tena. Ukishachenji imeisha.

Nchi huwa haiongozwi kwa blabla bali inahitaji commitment ya hali ya juu sana.

Kila la kheri.....

tafadhali sana watke radhi watanzania,mh.mkapa hatakiwi kukumbukwa kwa lolote zaidi ya kupewa lawama za kufilisi rasilimali za nchi hii
 
hivi mnataka kusema wakati wa Mkapa hakukua na Rushwa?
 
tutamkumbuka sana mzee mkapa kwa kweli amefanya mengi mema pamoja na kuwa kila kiongozi anamapungufu yake lakini ss watu wa NKNK pamoja na wilaya yetu tutamkumbuka kwa kuruhusu kilimo cha kujikimu angalia alivyoondoka watu wamekufa na njaa na watoto nao kwa utapiamlo wakati tumezungukwa na utajiri wa kutisha sana.
 
Back
Top Bottom