LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
Hata Magufuli akitoka naye atadai tume huru ya uchaguzi.
Hapana Mkuu ,wanacho fanya CCM ni kucheza na Akili zetu wanang'ata then wanapuliza .
Kupuliza kwa kuruhusu kuwepo kwa tume huru ya uchaguzi au ndo sanaa ya siasa?
Aliwahi sema haya huko Davos akiwa president - zama hizo akiomba msaada wa neti:Now the wise one or the stupid one? Kwanini hakusema haya yote kipindi yupo madarakani? Kwanini hakuyasema kipindi cha chaguzi zilizopita?
kuna mambo mengine hata utubu hayafutiki, ni lazima ukayajibu tu kwa pirato!! kwa mfano damu za wale wadai haki 21 zile ndizo zinamlilia na kumsumbua sana.Ametubu
Kaka umeandika maneno mazito, umeupa huzuni moyo wangu.Miaka themanini naa uzee umetaradadi kufa kupo njiani mali alizojilimbikizia ataziacha sasa sio kitu tena ila toba, haoni umehimu wa mali ila kumrudia Muumba, amejua kiburi ni kama nazi haishindani na jiwe yani kifo. Atulie tu atakutana ma mhusika siku ya mwisho sisi hatuwezi kusamehe na ikawa faraja kwake.
Jiwe naye atakuja kujutia muda ukifika, huwa kumbe akili zinawarudi eeeh!Atakua anajutia dhambi anatubia mapema