miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Hehehehe...mchagga wa karne ya 21 huyo.
ndiyo hivyo mapenzi na njaa mimi amnaga aisee
Hehehehe...mchagga wa karne ya 21 huyo.
aku mie matumizi muhimu
so akitembelea baby walker uufanyate mkia sawa sio matumizi upewe na ufosi anunue gari ya kiume kwa mshahara upi
Hahaha....chips kuku huwezi kosa bwana....cha muhimu ni dushe ulifurahie.
mwanaume unaendesha vitz?? Gari ka kiatu cha mtoto
Kaomba kupelekwa driving school tu umeshamtangaza,akiomba ubadilishe kadi ya gari isome jina lake je?
Tatizo umenunua Vitz akajua umemnunulia yeye,ungeleta Range wala asingeota kuiendesha.
He he kantangazeeeeeeeeeee usipontangaza nakutangaza wewe.
Upo my dada nimekumiss
if u want me t forgive you give me money now 1,000,000 nataka niende saluni
jamani si gari!!mi nimejitolea tu awe anaendesha gari langu...Na wewe wanawake wamejaaa mpaka umdandie wa mwenzio????
Unataka kwenda saluni au kufungua saluni?
hahahahha....kuna mwingine anafungua bonet kabisa kuzuga.......,alafu anajifanya yuko buzy na simu.... mkuu lazima ushakutana nayo hiyo..hehehe ..aisee
Mwekundu ndio maana nikataa maana najua kinachofata ndio hicho...na mimi sina uwezo bana.