Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,330
- 17,857
kakope na wewe
Sikopesheki sasa......lol
kakope na wewe
Mwanaume unaendesha vitz?? Gari ka kiatu cha mtoto
Hahaha....nilishtukia mkuu, ndio maana nimemtosa....hii daslam hii.
Sikopesheki sasa......lol
kwendraaaaa huko mbona weye unamla papuchii kila mara..kama amejitoa kwako..na ww si ujitoe kwake? kwanii driving sh ngapiii?mpelekee mwenzio huko ataendesha hata bodaboda kama siyo hiyo vitz yako lol
kwendraaaaa huko mbona weye unamla papuchii kila mara..kama amejitoa kwako..na ww si ujitoe kwake? kwanii driving sh ngapiii?mpelekee mwenzio huko ataendesha hata bodaboda kama siyo hiyo vitz yako lol
Kujua mwenyewe tena miss chagga......
charty. mda bado.......asubiri kwanza.
Mwanaume unaendesha vitz?? Gari ka kiatu cha mtoto
Shangaa wewe mpenzi embu mpe ile link ya magari ya ya 300k achague magari aache kugombania na bidada kijivit
if u want me t forgive you give me money now 1,000,000 nataka niende saluni🙂 babe don't hate me....don't hate me......no more......
ha ha ha ha ha charty uwii wnawake tumejielewa haki sawaasubiri nini! siku hizi tunachangamkia fursa kote kotee!! hata mie nikipata rubani...ntamwambia mchuchu anipeleke nkasomee mafunzo ya urubanii! acha ubahili ww jaman
Hahahahha...Zamaulid umenisoma..........anakuomba round alafu after one week.....anakushusha ofisini alafu yeye anabaki na gari....jioni anakurudia....soma gauge ya mafuta sasa....hehehhe