hehehe...vijibweni ni wapi tena mkuu.
Mwanaume unaendesha vitz?? Gari ka kiatu cha mtoto
Hiyo mjini nasikiaga wanaita baby walker...japo mimi sina hata baiskeli lakini ndo ivo
hahahahha....aisee. mkuu wewe ni bingwa ......du! huku ntaenda siku moja yaani napenda kigamboni lakini sijawai kufukiria kama kuna sehemu kama hii......mkuu kuna machimbo sana nini huku
Mnhhh i doubt it, wasio na magari unafikiri wanajitangazaga wazi wazi hivi!!!.
Acha kabisa tumeona mengi kijana.....hahha sio mbaya siku moja moja ukafika ukajiridhisha...maisha ndo haya haya
Ni kweli aisee....ila kigamboni ni pazuri asiee....natafuta nyumba nihamie huko. huwa weekend zangu nyingi napoteleaga huko narudi jumatatu.
jamani si gari!!mi nimejitolea tu awe anaendesha gari langu...
binadamu kusaidiana hata wewe ukitaka nakupa tu...aisee una roho nzuri.daah umejitolea tu?
Mwambie huyo Mtende.
binadamu kusaidiana hata wewe ukitaka nakupa tu...
Vaislay nilikuagizia Harmer ila Maharamia wameiteka Meli. Lakini usijali tutaenda wkend pale posta mpya kwenye showroom yao tukanunue kitu new brand. Alafu tafuta eneo zuri tuanzishe Yard uakuuzia magari.
Hukumchapa vibao?