Mkuu, si afadhali akurudie ofisini mshale wa wese ukiwa chini, mwingine anakupigia simu na kukuambia Dear, gari imeharibika haiwaki, ukienda unamkuta amekaa kivulini anakusubiri, ukiangalia unakuta mafuta yameisha hata hajui kama ni mafuta.
Ni PM na bank account number yako au M-pesa number yako.......sasa dear with this money are you going to make your hair? or to start your own saluni.
to make ma hear only... i want to facial, nioshe miguu, ninyoe nyele za kwapani na kule.... , nitinde nyusi hapo bado naongeza hela nyingine hiyo haitoshi
hapo sawa kakomalia vitz loh.. afu unaweza kuta mrefu na mwili mkubwa akishuka kwenye gari unajiuliza hivi humu ndani ya gari kuna shimo/... loh embu tafuta gari za kiume mpe bidada aendeshe
Ok nimekuelewa sasa fanya hivi...hair,facial na miguu nawaachia saluni....za kwapani na kule nletee.......ok nakutumia sa ivi.
hahahahaa ya kiume tatizo mkwanja miss chagga
ndo wazitafute tu
Huko hata sita click...... kwani jamani vitz ndio inagegeda au dushe.......kwani unafikiri huyu mwenzako hawaoni hao wenye hayo ya 300K......katia nanga atiii...kila akichungulia anaondoka na kapu la magoli....
Hivi unaelewaje mtu akiandika 300k??
he he magoli yananoga ukitoka hapo utembelee ma.---- si kukimbizana na dalalada
ndo umuache ben wa watu azichangechange no matumizi kuanzia sasa lol
Nlijua ni nywele kwa kichagga...hehehehhe
Hehehhehe....kwa kweli itabidi iwe ivo maana watu washasema eti gari yangu ni baby walker......watu sio wazuri kabisa