Hiyo ni kweli Mkuu, alinipigia simu na kuniambia gari haliwaki, nikamchukua fundi wangu kama unavyojua magari ni kama binadamu, unakuwa na daktari uliyemzoea halafu unamwita Daktari wako kana kwamba anakutibu wewe tu. Sasa kufika fundi akafungua boneti, akaniambia washa gari, na mimi nikiwa na panic, bila kuangalia mshale wa wese nikapiga start, gafla naangalia mshale umelala na taa inawaka, nikamwambia fundi,naona mshale wa mafuta uko chini na taa inawaka. Bahati nzuri kwenye buti kulikuwa na kidumu cha lita 5, ndio kuchukua Boda boda, kuwahi "Victoria" na kurudi kuweka wese gari ikapiga start kama ndio kwanza inaingia kutoka Japan !!!!!
Hivi kweli vitz ya kuja kupigia kelele humu.
Khaaaa jamani je akikopesheka tractor sijui itakuwaje.
mwanaume ni kutafuta anunue gari na pia anipe hela ya matumizi
Range vitz zote zinafika club... ben ukija mchepuko mwingine ambao hujaugegeda unauomba wewe mwenyewe ukaufundishe.
Hehehehehe.........ndio maana mnaliwaga 0713....maana jamaa anataka kukutumia ipasavyo kwa jinsi anavyokuhudumia....kwa hiyo sasa wewe utakua unashinda tu home unaangalia bongo muvi.....hehehehe duh! haya bwana.
Hehehehe...kumbe unaogopa 0714...ulivyojibu haraka
Hahahha,......haya bwana. Hata ikiguswa utasema?
Hiyo ni kweli Mkuu, alinipigia simu na kuniambia gari haliwaki, nikamchukua fundi wangu kama unavyojua magari ni kama binadamu, unakuwa na daktari uliyemzoea halafu unamwita Daktari wako kana kwamba anakutibu wewe tu. Sasa kufika fundi akafungua boneti, akaniambia washa gari, na mimi nikiwa na panic, bila kuangalia mshale wa wese nikapiga start, gafla naangalia mshale umelala na taa inawaka, nikamwambia fundi,naona mshale wa mafuta uko chini na taa inawaka. Bahati nzuri kwenye buti kulikuwa na kidumu cha lita 5, ndio kuchukua Boda boda, kuwahi "Victoria" na kurudi kuweka wese gari ikapiga start kama ndio kwanza inaingia kutoka Japan !!!!!
Hehehehe....Kaizer we noma.....aisee
Ivi kwa mfano ka baby walker umekopa kwa mhindi kisha unafanyiwa ubandidu wa ivo tarehe hazisomi..unamfanyaje kwa mfano
Unajua seriously ni ngumu sana....kuna watu wana mikopo zaidi ya asilimia 70 ya mishahara yao kwa ajili ya kuendekeza ubandidu...ni noma.