Beni...naomba nipeleke driving school eeeh.....

Beni...naomba nipeleke driving school eeeh.....

Vitz ni gari yetu mi namshauri ampe tu kama mimi nilivyopewa.
Asa litampendezajeeeee.
Yeye atafute at least harrier au nissan xtrail

Amu ndo vivyo nilivyokelewa au? ebu fafanua kwanza....etii....
 
Amu ndo vivyo nilivyokelewa au? ebu fafanua kwanza....etii....

Achana na vitz we mpe tu ben jisogeze kwa hayo magari awe anaenda nalo saloon kuringishia.
Kama utashindwa kujisogeza kwa hayo bora utembelee tz 11
 
Achana na vitz we mpe tu ben jisogeze kwa hayo magari awe anaenda nalo saloon kuringishia.
Kama utashindwa kujisogeza kwa hayo bora utembelee tz 11

Una point hapo.....ngoja basi nimalizie huu mkopo angalau nipate card original.
 
Vitz ni gari yetu mi namshauri ampe tu kama mimi nilivyopewa.
Asa litampendezajeeeee.
Yeye atafute at least harrier au nissan xtrail

hapo sawa kakomalia vitz loh.. afu unaweza kuta mrefu na mwili mkubwa akishuka kwenye gari unajiuliza hivi humu ndani ya gari kuna shimo/... loh embu tafuta gari za kiume mpe bidada aendeshe
 
Sasa kama hutaki.ngoja wajitokeze wa kumpeleka drivig school,na gari watamnunulia hahaha,
 
Weweeee...acha fujo mama...haka kavitz kenyewe bado nakatwa mshahara na mhindi, huko driving skuli alafu ukimaliza uendeshe gari ya nani? Hebu tulia huko Ala!
Amekosea sana, alipaswa akuambie..."Bby, Naomba uninunulie ki-vitz halafu unipeleke driving school"
 
Amekosea sana, alipaswa akuambie..."Bby, Naomba uninunulie ki-vitz halafu unipeleke driving school"

Du..! hapo sasa angekua anatafuta kuvunja mahusiano.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom