Beni...naomba nipeleke driving school eeeh.....

Beni...naomba nipeleke driving school eeeh.....

Hukumchapa vibao?

Mawazo ya Kishetani hayo, unaanzia wapi kumchapa vibao mkeo eti kwa sababu ya petroli ya shilingi 30,000/= !!! Je, mke sio wa muhimu zaidi kuliko hata gari ?
 
Mawazo ya Kishetani hayo, unaanzia wapi kumchapa vibao mkeo eti kwa sababu ya petroli ya shilingi 30,000/= !!! Je, mke sio wa muhimu zaidi kuliko hata gari ?

Hahaha..alikuwa wapi ndo shida
 
Ahaa, kumbe ni hilo. Unamwuliza tu kwa maneno matamu mpaka anaona aibu mwnyewe, sio lazima kwa vibao mtu mzima hachungwi, anajichunga mwenyewe.

Mi nina mkono mwepesi sana ndo.maana
 
Mi nina mkono mwepesi sana ndo.maana

Kweli !!!! Ndivyo ulifundishwa kwenye mafundisho ya ndoa, je ina maana na wewe ukifanya kosa, mwenzio anyoshe mkono haraka, hebu jiulize utajisikiaje kama itatokea hivyo.
 
Kweli !!!! Ndivyo ulifundishwa kwenye mafundisho ya ndoa, je ina maana na wewe ukifanya kosa, mwenzio anyoshe mkono haraka, hebu jiulize utajisikiaje kama itatokea hivyo.

Una heri sana kama unakumbuka mafundisho ya ndoa mkuu..mimi nakumbuka ya kimila
 
Una heri sana kama unakumbuka mafundisho ya ndoa mkuu..mimi nakumbuka ya kimila

Mimi nime - combine yote maana nilifunga ndoa zote mbili na mke huyo huyo ya kimila na ya kanisani; na mafundisho yote ya kimila na kidini yanafundisha kuvumiliana hakuna Mzee mwenye busara atakayekufundisha kunyoosha mkono haraka kwa mwenza wako, badala yake unafundishwa kuchunguza kwanza na kujiridhisha bila kuacha mashaka kabla hujachukua hatua. Waze wa kikwetu wanasema .....punguza jazba, uwe na familia......ningekwambia kilugha lakini wewe sio wa huko.
 
Mkandara, nakuongezea kitu kimoja walichokisahau kina Juliasi wakati wanakabidhiwa nchi, VIONGOZI WA KIAFRIKA WALISAHAU (AMA WALINYAMAZISHWA) KUOMBA FIDIA ZA UKOLONI, yaani ukoloni unatakiwa ujulikane kwamba lilikuwa kosa la jinai na waliotenda wanatakiwa washitakiwe na walipe fidia, sio kila siku wanatuzuga eti tuna madeni, nasi tuwaeleze wazi kwamba walitukosea na kutuibia hivyo wao ndio wanastahili kulipa!

Mkuu si nawez kupata mfasiri labda hapa hapa ..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom