Yule mama aliefungiwa Huduma mfalme Zumaridi kwa mbwembwe nyingi za vyombo vya ulinzi mbona mmemruhusu sasa kufanya Huduma pasipo manjonjo kama mlivyofanya pindi ile? Alikuwa kakosea nini?
Tofauti yake na hawa mitume na manabii wanaouza maji na chumvi kama yeye iko wapi??mbona hamuwakamati nao?
Mimi naishi Jirani na huyu mama Zumaridi, wakati wamefungiwa hata kusali walikuwa hawasali, sasa wamefunguliwa kelele mwendo mdundo.yani toka SAA nane waimba kale ka wimbo "benderaaaa ya zumaridiiii sasaaa INA pepeaaa...sasa INA pepeaaaa pepeaaaaa"
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofauti yake na hawa mitume na manabii wanaouza maji na chumvi kama yeye iko wapi??mbona hamuwakamati nao?
Mimi naishi Jirani na huyu mama Zumaridi, wakati wamefungiwa hata kusali walikuwa hawasali, sasa wamefunguliwa kelele mwendo mdundo.yani toka SAA nane waimba kale ka wimbo "benderaaaa ya zumaridiiii sasaaa INA pepeaaa...sasa INA pepeaaaa pepeaaaaa"
Sent using Jamii Forums mobile app