rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 18,000
- 25,611
Leo tunafukua makaburi mtayatafuna maneno yenuSimba mbona mnahamaki ? Yule ni mchezaji hatari sio kama wale veterani wenu wanaotumia boster maana kwenu kumsajili kijana ni shida mpaka uwe veterani kama Wawa Nyoni Manula Kagere Boko Kapombe Kahata Kanda nk