Ben Saanane na wenzake wapata ajali mbaya

Ben Saanane na wenzake wapata ajali mbaya

Habari tulizopata muda huu ni kuwa Ben Saanane amepata ajali mbaya eneo la Maili moja Kibaha wakielekea Rombo Kilimanjaro kwa ajili ya kampeni pamoja na Marafiki zake wawili.

Gari inayomilikiwa na Allan Meshili aina ya Prado T377ACG iligongwa na gari nyingine na kupoteza mwelekeo kisha ikavaana uso kwa uso na gari ya aina ya scania ya mafuta.

Kuna watu wapo eneo la tukio watatutumia taarifa zaidi
===================

JamiiForums imethibitisha kutokea kwa ajali hii, Ben yupo salama lakini Patrick anadaiwa kuwa katika hali mbaya sana.

Taarifa zaidi zitafuatia

Tunaomba update please ya afya ya kijana wetu. ova
 
Hi,you are really welcome to the first AFRICA-CHINA business community BAA! baa.chinaworldbuz.com GRAB YOUR ANSWER; GET MORE OPPORTUNITIES;SHOW YOUR PERSONALITY
 
Hi,you are really welcome to the first AFRICA-CHINA business community BAA! baa.chinaworldbuz.com GRAB YOUR ANSWER; GET MORE OPPORTUNITIES;SHOW YOUR PERSONALITY

How does it relates to this topic mkuu
 
we mwehu nini? mimi nimeuliza swali na nimeona kwenye ukurasa wa Yericko Nyerere kule facebook, so nimeuliza kupata uhakika, wewe unaniambia niache uzushi.
akili za kuambiwe changanya na za mumeo
 
wakifa na wizi unapungua

Biblia takatifu imasema "ombea adui yako aishi miaka mingi maana hamuna haja ya yeye kufa kabla hajaona baraka ambazo mungu ameweka mbele yako"......

1. Siku zote anaeombea mwenzake afe ni pung.uani

2. Mshindani wa kweli haombei mwenzie afe ila anaweka mikakakti dhabiti ya kumshinda kwa bahati mbaya jamaa wa delete ccm hili jalijafunuliwa kwao.
 
Biblia takatifu imasema "ombea adui yako aishi miaka mingi maana hamuna haja ya yeye kufa kabla hajaona baraka ambazo mungu ameweka mbele yako"......

1. Siku zote anaeombea mwenzake afe ni pung.uani

2. Mshindani wa kweli haombei mwenzie afe ila anaweka mikakakti dhabiti ya kumshinda kwa bahati mbaya jamaa wa delete ccm hili jalijafunuliwa kwao.
kwa ccm hatuwezi kuwaombea waendelee kutuibia pesa zetu tena huu uvumilivu umefika mwisho wake.
 
RIP marehemu. Poleni sana wafiwa. M/Mungu awape moyo wa uvumilivu.
 
kwa ccm hatuwezi kuwaombea waendelee kutuibia pesa zetu tena huu uvumilivu umefika mwisho wake.

Kutembea kwa helcopta yenyewe wizi, cheap politics eti opereshen futa delete ccm nayo ni aina nyingine ya wizi. ... mtacarbohydrate sana kwenye mitandao wakati ccm ikiendelea kudunda.
 
Kutembea kwa helcopta yenyewe wizi, cheap politics eti opereshen futa delete ccm nayo ni aina nyingine ya wizi. ... mtacarbohydrate sana kwenye mitandao wakati ccm ikiendelea kudunda.
wewe ndo hujitambui kuanzia umeolewa naona hata uwezo wako wa kufikiri umepungua sana
 
Back
Top Bottom