Taswira
JF-Expert Member
- Sep 23, 2012
- 1,198
- 452
Binafsi namshukuru Mungu Yehova (Muumba wa mbingu na nchi) kwa hiki kinachotokea leo. Leo tumejionea wazi wazi kile kilichokuwa kimefichika. Naomba wote (wakiwemo wanaojadiliwa hapa) tutafakari yafuatayo:
- Hakuna anaepinga kuwa kuliundwa kundi la kuchafua viongozi wa CHADEMA (na kuwachonganisha Mh Mbowe na Dr Slaa) intended beneficiary akiwa ni Mh Zito Kabwe.
- Kumekuwa na threads nyingi tu humu za kuwachafua viongozi wa CHADEMA na kudai kuwa Mh Zito anaandamwa/anachukiwa ndani ya Chama. Hata viongozi wa ccm na wapenzi wake wamekuwa wanashadidia "kuchukiwa" kwa Mh Zito (japo nikiri awali nilichukulia kuwa ni sehemu ya "singo" ya "ukanda, udini na ukabila" wa CHADEMA -rejeeni kauli ya mukama wakati wa msiba wa Mzee Bob Makani)
- Hakujawa na kauli kutoka kwa Mh Zito kukanusha kuwa yeye anaandamwa (nitafurahi kuonyeshwa ushahidi ili kuthibitisha kuwa nilichosema hapa si sahihi).
- Ben Saa Nane kakiri na KUTUBU kuhusika (na watajwa hawapingi) kuhusika na mkakati wa kuwachafua viongozi wa wakuu CHADEMA.
So what do these four issues tell us? Mh Zito, you need to own up this sad state of affairs. You may actually be innocent, but your (including of those who have been doing their best - which has so far achieved to reinforce the negative perspective on your part) deeds and words hardly help your cause. Simama hadharani, own up and let us move forward.
Mchange, Taswira, Juliana et al; Ben (au inawezekana ni mjumbe mwingine) katuambia ana ushahidi na anakusudia KUUTOA KWENYE VIKAO VYA CHAMA, so why can't you guys wait and nail him there if you are so sure of what you are telling us here?????
Kunasehemu watu wamesema walikuwa wanawahafua slaa na mbowe?Mbona unatunga uongo usio kuwepo.Kilicho zungumzwa hapa ni PM7 nasio hicho unahoturubuni