Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,798
- 12,239
Mpumbavu!Si mlishapeleka miaka miwili iliyopita- hii ya pili inahusu nini tena?
Mpumbavu!Si mlishapeleka miaka miwili iliyopita- hii ya pili inahusu nini tena?
Mkuu hao wote chungu kimoja..Kama chama hakiwataki,waangalie mstakabali mwingine,siyo poa kung'ang'ana hivyo,imeji zao zinaharibika as if hawana means nyingine ya kuishi.
Katika madem ote 19 Ester Matiko alisota sana "mundende" Segerea kwa ajili ya CDM Halima nae akala mkong'onto toka kwa askari magereza ad mkono ukatenguka inasikitishaMpumbavu!
Akikujibu nishtueHumaanishi eti eeh! Kwa yule nyamaume nani angelinda au kusogelea kituo Cha kupigia kura? Au ulikuwa hujakua miaka hiyo? Basi mwombe bibi Yako akusimulie hadithi ya mtu yule huenda ukawaonea huruma cdm.
Kama hajaambatanisha mihutasari ya vikao vya maamuzi ya chama basi itakuwa ni kipeperushi kingine tu!Sitaarajii kusikia wakati huu kuwa kilicho kabidhiwa ni kipeperushi au kikaratasi kama maneno ya enzi Ileee,bila shaka Sasa itasomeka ni taarifa rasmi na barua ya kiofisi kati ya ofisi mbili tofauti na yenye vigezo vyote ya kiofisi🤔
Mmekatazwa na Gaidi Mbowe kutukana- wewe unaelewa kweli?Mpumbavu!
Naona masaburi yanakuwashaHii nguvu wanayotumia kadema dhidi ya covid 19 wangeitumia kulinda kura zao kwenye chaguzi wangekuwa na 70% ya wabunge na wawakilishi!
Siku akikutongoza na ukakubali ndio utajua kuwa ana ushawishi.Huyo nae namuonaga amekaa kinjaa njaa flani hivi . sema pia hanaga ushawishi kabisa.
Hiyo ni posa ya kukuoa.Si mlishapeleka miaka miwili iliyopita- hii ya pili inahusu nini tena?
Jana gani?Jana mnyika aliandika kwenye Twitter yake kuwa hiyo barua ilishafika kwa spika.
Leo msaidizi wake anasema barua imefika leo.
Tuagize popcorn
Gaidi alikwisha zikwa Chato!Mmekatazwa na Gaidi Mbowe kutukana- wewe unaelewa kweli?
Usipende kukoment wakati ukikata gogoHii nguvu wanayotumia kadema dhidi ya covid 19 wangeitumia kulinda kura zao kwenye chaguzi wangekuwa na 70% ya wabunge na wawakilishi!
Hii nguvu wanayotumia kadema dhidi ya covid 19 wangeitumia kulinda kura zao kwenye chaguzi wangekuwa na 70% ya wabunge na wawakilishi!
Unatumia matope kuwaza, hivi kwa akili za kawaida wanaotumia nguvu ni CHADEMA au CCM. Mbona watu mnaropoka tu,kama huna hoja jamani ni busara ukakaa kimya.Hii nguvu wanayotumia kadema dhidi ya covid 19 wangeitumia kulinda kura zao kwenye chaguzi wangekuwa na 70% ya wabunge na wawakilishi!
Usimjibu hanaga akiliHivi ndo umerudi Tz leo?
Alowazalo mjinga?Alivyo na haraka itakuwa ana demu wake anamuandalia mazingira sio bure.
Ulisoma wapi?evel gan? Umri wako? JeJana mnyika aliandika kwenye Twitter yake kuwa hiyo barua ilishafika kwa spika.
Leo msaidizi wake anasema barua imefika leo.
Tuagize popcorn