BelindaJacob.....

BelindaJacob.....

WanaJF huyu mtu naomba contact zake tuuuuu.....najua yuko hapa kila wakati.....ana mdomu umejaa strawberry sijui, sijui nini yaani full utamu...BelindaJacob mama kama unanisikia kilio changu.....
Bwana mdogo Vienna unapafahamu ? nauli unayo ? Una hela au kazi ya kuweza kupata visa ? kama majibu ya maswali haya ni ndio nitafute nikupeleke kwa Belinda acha kujaza nafasi hapa JF.
 
quote limegoma bana!

Lizzy:

kwanza hisia hazina jukwaa
pili mapenzi hayana sababu

mimi mwenyewe nimejikuta napenda spelling za jina lako tu walahi! khaaa RIP klorokwini, mapenzi hayauwi lakini yanasababisha kifo. nakufa jamani

sjui kwanini kwenye sredi hii quote zinagoma?
Lizzy:

toa sababu 2 za tamaa, adhawaizi una kesi ya kujibu

Sura nzuri kama yangu...macho ya kurembua bila kulazimisha...sauti nzuri zaidi kinanda...pesa...ukareeee na jina kubwa!

Khaaaa....unaona ulivyo na tamaa!!!?

hiyo sio tamaa bana ni nature! hivi umesahau kwenye baiolojia wanasema kila sekunde kunatengezwa sperms millioni something, sasa unadhani kama hawajapungua kupitia posts za lizzy si watazeeka halaf wasababishe cancer? think! Lizzy think

Gosh Kloro....ngoja nikalale sasa kabla sijahamishia bifu pande hizi.Ila nakuasa TAMAA MBAYA!!!Alafu nilifeli chekechea kwahiyo bailojia hua nasikia tu mtaani!!

namimi nalog out! usjali nitakusomesha baiolojia kwa vitendo! vere soon

Kudadadeki....Sredi la Belinga na Magulumangu..........limechakachuluwa na kuwa la Klorokwini na Lizzy!

Invizibo, naomba mwongozo.
 
Bwana mdogo Vienna unapafahamu ? nauli unayo ? Una hela au kazi ya kuweza kupata visa ? kama majibu ya maswali haya ni ndio nitafute nikupeleke kwa Belinda acha kujaza nafasi hapa JF.

Watu tayari wameonana na Belinda acha zako eti Vienna....belinda yupo kwingine na wala sio huko unakozani weye...hahahahahahaha PM nikuambie aliko hahahaha....
 
Back
Top Bottom