GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,738
- 109,173
GENTAMYCINE nataka Wachezaji wote wapya wa Kigeni watakaosajiliwa na Simba SC kwa Msimu ujao wawe na Sifa Kuu hizi zifuatazo za Mchezaji Henock Inonga.....
1. Kujiamini mno Uwanjani
2. Uwezo mkubwa sana
3. Control ya uhakika muda wote
4. Akili nyingi Uwanjani
5. Mwenye Ari ya Upambanaji
6. Asiye na Historia ya Majeruhi
7. Anayecheza Nation Team Kwao
Aliyemsajili Henock Inonga Simba SC ( ambaye ni Poti wangu Crescetius Magori ) nasema Shikamoo Kwake na natamani Mwekezaji wa Simba SC amteue rasmi Magori kuwa Simba SC Chief of Scout kwani Magori anaujua Mpira, hana Njaa, ana Jicho la Kumjua Mchezaji na huyu ndiye alikuwa Msaidizi wa Marehemu Zakaria Hanspoppe katika Sekta ya Usajili Simba SC.
1. Kujiamini mno Uwanjani
2. Uwezo mkubwa sana
3. Control ya uhakika muda wote
4. Akili nyingi Uwanjani
5. Mwenye Ari ya Upambanaji
6. Asiye na Historia ya Majeruhi
7. Anayecheza Nation Team Kwao
Aliyemsajili Henock Inonga Simba SC ( ambaye ni Poti wangu Crescetius Magori ) nasema Shikamoo Kwake na natamani Mwekezaji wa Simba SC amteue rasmi Magori kuwa Simba SC Chief of Scout kwani Magori anaujua Mpira, hana Njaa, ana Jicho la Kumjua Mchezaji na huyu ndiye alikuwa Msaidizi wa Marehemu Zakaria Hanspoppe katika Sekta ya Usajili Simba SC.