GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,738
- 109,177
Kwa Uwezo mkubwa aliouonyesha Kocha Mkuu wa Simba SC Robertino Oliviera nina uhakika kama tu akisajiliwa Wachezaji wa maana (Majembe) Msimu ujao Simba SC haitoishia tu kufika hatua ya Nusu Fainali bali itafika hadi Fainali kabisa.
Pongezi nyingi Kwake Kocha Mkuu wa Simba SC Robertino Oliviera kwani ni Bonge la Kocha na nauomba Uongozi wa Simba SC upesi sana umuongezee Mkataba tena ikiwezekana ili atufanyie makubwa apewe Mkataba mrefu wa kati ya Miaka Mitatu au Mitano.
Pongezi nyingi Kwake Kocha Mkuu wa Simba SC Robertino Oliviera kwani ni Bonge la Kocha na nauomba Uongozi wa Simba SC upesi sana umuongezee Mkataba tena ikiwezekana ili atufanyie makubwa apewe Mkataba mrefu wa kati ya Miaka Mitatu au Mitano.