William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Wakuu heshima mbele sana, sometimes ni vyema tuka-pose mashambulizi na kutoa soulution. Najua JF ni vichwa sana na sio mchezo inapokuja kwenye siasa na uongozi wetu wa taifa, sasa hebu tuone iwapo tutapewa Urais wa Tanzania leo ni nini tutafanya tofauti na sasa, na ni nini kinatakiwa kufanywa for just the first 100 days in the office angalau kuanza kulipeleka hili taifa letu kunapotakiwa?
- Halafu nini so far makosa ya Rais wa sasa ukianzia na alipoichukua hii nchi? Sometimes ni vyema tukawa a part of the solution!
Respect.
FMEs!
- Halafu nini so far makosa ya Rais wa sasa ukianzia na alipoichukua hii nchi? Sometimes ni vyema tukawa a part of the solution!
Respect.
FMEs!