Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 482
Sikupenda kuja huku ila kuna hili! Bei za bidhaa mbalimbali zimepanda kuanzia leo.
Kwa mfano maji ya Kilimanjaro yamepanda kwa kati ya shilingi 200 na 300. Je hii ni kufidia gharama za uchaguzi ama ni kuelekea kwenye nchi ya asali?
Kwa mfano maji ya Kilimanjaro yamepanda kwa kati ya shilingi 200 na 300. Je hii ni kufidia gharama za uchaguzi ama ni kuelekea kwenye nchi ya asali?