Bei zapanda baada ya Uchaguzi

Leo bei ya petroli sh 2000 badala ya 1750 tuliyokuwa nayo kwa miezi 9 iliyopita. Sitoi hata lift kwa mtu mie. Watembee kwa miguu kwenda kazini au wajazane kwenye public transport. Hakuna anayenichangia mafuta au service za gari. Kudandia tu ndio kwingi na kura wanatoa kwa mafisadi. Watakoma!
 
Tetea ufisadi lakini kuumia tutaumia sote.............nchi kamwe haiwezi kuendelea kama serikali iliyopo madarakani hailaumiwi wakati mambo yanakwenda vibaya.....................................iteteeni serikali ya mafisadi na watakapomaliza vya kuchakachua watatuchakachua sote uhai wetu bila ya huruma au kujali waliokuwa wanawapigia debe..........................

Hivi unasoma unachokinukuu au basi wajibu tu?

Unajua katika suala hili ni lazima kuwe kuna makundi au kundi la kutetea haki za walaji (ukiondoa TBS ambayo iko pale kinadharia zaidi) ambayo hayafungamani na serikali, wazalishaji au wauzaji. Makundi kama haya yapo katika soko la ajira na huku unakuta yapo ya pande mbili, waajiri (kwa hapa Tanzania ni TEA, Employers Association) na vyama vya wafanyakazi.

Enzi zile za serikali ya awamu ya kwanza consumer groups zilikuwepo ingawa zilikuwa zinaundwa na serikali kama ile bureau ya bei
 
nchi ishauzwa hii mtumiaji wa mwisho ndo analipa kodi 100%, wafanyabiashara wakubwa wanapeta tu mamamae!!!!!
wananchi wa nchi hii tumekua mambumbu sana ndo maana nikionaga wale waliovalishwa mashati ya kijani wanashangilia upumbavu huwa nazima Tv, waaacheni wateseke na watakula mpaka pumba mwaka huu..
 
tena weka mkazo hapo, kuna tofauti kubwa kati ya waliokuwa wanavaa tshirt,kanga,kapelo, na wale wanaovaa mashati yakijani!...we chunguza kidogo tu, utaona classes za kufa mtu, na hence utajua hali ikianza kuwa ngumu ni wapi kati ya hao wataanza kulalama!

shati linauzwa kati ya elfu 12 hadi elfu 40, wakati t-shirt, kapelo na khanga hazizidi buku 3.
 
Tena weka mkazo hapo, kuna tofauti kubwa kati ya waliokuwa wanavaa tshirt,kanga,kapelo, na wale wanaovaa MASHATI yakijani!...We chunguza kidogo tu, utaona classes za kufa mtu, na hence utajua hali ikianza kuwa ngumu ni wapi kati ya hao wataanza kulalama!

Hapa paka jimmy umeongea. Wavaa tisheti ni mtaji wa wavaa mashati. Ni kama tu Toilet paper na wakishafanikisha kazi yao huwa wanatupwa. Wavaa mashati ni wateule amba wanastahili kufaidi keki ya taifa.
 
Huwezi kupanda bangi ukategemea kuvuna mchicha. Na huu ni mwanzo tu, nashukuru mmeliona hili. Kuna jamaa aliandika hivi
If a leader repeatedly shows poor judgement and decisions, even in little things, people start thinking that having him/her as a leader is the real mistake
ngoja wabongo tuendelee kuumia. sasa hivi bongo ni kama a no man's land.
 
Back
Top Bottom