Fatma-Zehra
Senior Member
- Oct 18, 2020
- 192
- 1,062
Kuanzia tarehe 1 July, bei za mafuta, kuanzia petrol, diesel, kerosene zitapanda kwa kiwango kisicho na chembe ya uungwana. Maisha yatapanda.
Mfumuko wa bei utapanda wakati kodi zitashuka maana hali naiona siyo nzuri sana.
Kushuka kwa kodi pamoja na kupanda kwa gharama za maisha italeta economic and social crises angalau kwa miaka kadhaa ijayo iliyojaa vituko vya Covid.
Katika kipindi cha uchumi wa dunia kutotabirika kama sasa, ni hatari kwa usalama wa taifa letu kuongeza bei za bidhaa na huduma muhimu kupitia ongezeko la mafuta.
Mama hapa kashauriwa vibaya. Abadili maamuzi. We love her.
Mfumuko wa bei utapanda wakati kodi zitashuka maana hali naiona siyo nzuri sana.
Kushuka kwa kodi pamoja na kupanda kwa gharama za maisha italeta economic and social crises angalau kwa miaka kadhaa ijayo iliyojaa vituko vya Covid.
Katika kipindi cha uchumi wa dunia kutotabirika kama sasa, ni hatari kwa usalama wa taifa letu kuongeza bei za bidhaa na huduma muhimu kupitia ongezeko la mafuta.
Mama hapa kashauriwa vibaya. Abadili maamuzi. We love her.