cotyledon
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 2,241
- 1,585
Kusema mama amekuta nchi katika hali ngumu ni uongo wa kupindukia1 Nyerere maisha yalikuwa magumu mno
2 Mwinyi mzee wa rukhsa, alifungulia kila ki2
3 Mkapa alikuwa ana unafuu japo co saaaana
4 Kikwete maisha yalikuwa bora
5 Magu maisha yalikuwa magumu
6 Mama samia, anaelekeya 6 months, hopu ataweka mambo sawia. 2mpe muda.
Ukitazama hapo,,,namba 2 na 4 maisha yalikuwa the best haswaa.
So Uyu mama amekuta nchi ipo kwenyi wakAti mugumu,,,,ili aiweke saWa itachukua muda mzehe.