Bei za Mafuta zapanda kuanzia Septemba 1, 2021

Nchi imekabidhiwa kwa wahuni na “know-it-all” kama Madelu na haya ndio matokeo yake

Watu wapo busy wanachota na kukwapua pesa za maandalizi ya 2025
Huyu Mwigulu mtamtupia sana lawama ila mama yenu huyu mliemdemkia sana mwanzoni hamna kitu
 
Hilo lijinga unalolilenga ndio source of problem in tz
Utapanic sana dogo!

Ndio maana mlishangilia kifo chake mkifikiri kufeli kwenu ni kwa sababu yake, sasa mambo yamefeli mara mbili zaidi na bado mnamtupia lawama marehemu.

Hata uchaguzi wa 2025 mtakuja kushindwa vibaya na mtamlaumu marehemu.
 
Back
Top Bottom