Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,882
- 33,400
Si mlikuwa mnademka kwamba acha apandishe ili kuinua uchumi uliouawa na marehemu?Hivi sisi wanyongwe tumewakosea nini Mwigulu na Mama ?
.
Mkawa mnasema hata ikifika elfu 10 sawa tu maana mko huru baada ya kuteswa sana na mwenda zake?