Mkuu ekari 20 ukapata kg 450? Ina maana kwa ekari hukupata hata gunia 5?Hapo alichoma si chini ya 15m, mi mhanga mwenzake nililima 20 heka nikaambulia kilo 450. Nilichoma 10m.
Nilifungulia Uzi hapa ulisema shikamoo kilimo. Mods wamepita nao.
Zilipoanza kutoa matawi (ya kutolea maua) sikuwa nayakata ili yatoe natawi mengi zaidi "MATAWI MENGI-MBAAZI NYINGI")Ulikosea wapi kiongozi?
Mkuu hakuna mwaka ambao mbaazi iliuzwa kwa bei ya hasara kama kipindi cha dictator Magufuli hasa 2017 imagine kg 1 iliuzwa 150tshMwaka wa tabuu huu
Huu mwaka ni wa kufa kufariki
Mkuu hakuna mwaka ambao mbaazi iliuzwa kwa bei ya hasara kama kipindi cha dictator Magufuli hasa 2017 imagine kg 1 iliuzwa 150t
Mwaka huu ufuta tumeanguka mbaaz tumeanguka sjuw korosho tukianguka na hapo tumekufaMkuu hakuna mwaka ambao mbaazi iliuzwa kwa bei ya hasara kama kipindi cha dictator Magufuli hasa 2017 imagine kg 1 iliuzwa 150tsh
Aise ndyo mnunuzi wa mbaazi kumbe sikujuaMwaka huu ufuta tumeanguka mbaaz tumeanguka sjuw korosho tukianguka na hapo tumekufa
Ila GSM bil kumi kumbe hakutoa yeye si ndio hizi tunatoa sisi wakulima
Mwaka jana ilikuwa 3000 had 3500Kwani hapo mwanzo walikuwa wanauza kiasi gani?