Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 15,634
- 22,571
Hizo hadithi za midle east sisi zinatuhusu nini?Mleta mada ingependa ufahamu kuwa kwa sasa
Voice Call haina dili tena kama INTERNET
Na bado siku zijazo INTERNET BUNDLE itazidi kupanda saaana
Leo kujiunga VOICE CALL ya 500 unapata dakika zaidi ya 50
Lkn bando mia5 Mb 90
Kwanza hapa Kwetu TZ ni bei rahisi saaana jaribu kuulizia kwa majirani zetu Uganda huko bando hazishikiki Uganda sh1000 unapata MB20
Tukienda Nchi za MIDDLE East ndio balaa DIRHAM 100 unapata 1GB
Dirham 100 ni sawa na 50.000 Tshs, ndio maana huko makwao wanatumia INTERNET KWA KUPITIA WIFI TU
Ukiwa sehem hakuna WIFE Free hapo haupo ONLINE ktk Maswala ya INTERNET
Ningeshauri tu watanzania wenzangu tuacheni tabia za kujilizaliza hovyo pasipo na sababu za msingi[emoji1321]
Wahenga walishamaliza kwa kusema
“UKIMWONA ALIE JUU YAKO UTAKUFURU KWA MUNGU,NA UKIMWONA ALIEKUWA CHINI YAKO UTASHUKURU KWA MUNGU”[emoji1321]
Mtu anajikuna anapowashwa.
Je sera ikitolewa ya gbfree utaleta ngebe za mataifa yasiyokuhusu?