MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,706
- 21,857
Hii ni bei ya vifurushi vya internet kwa mitandao ya simu ya Vodacom, TIGO, Halotel na AIRTEL kwa gharama ya shilingi 500 kwa siku ya leo trh 11/02/2020.
Kwa shilingi 500 utapata
MB150 (AIRTEL)
MB70 (TIGO)
MB70 (vodacom)
MB 100 (Halotel).
Maoni yangu.
Haya makampuni ya simu yanatengeneza faida kubwa sana kwenye miamala ya simu,yana uwezo mkubwa sana wa kujiendesha kwa faida kwa biashara moja tu ya huduma ya kifedha achilia mbali faida inayotengeneza kwa huduma nyingine kama voice.
Kwa wastani mtanzania ananunua data MB 90 kwa shilingi 500.
MB 90 ni kiasi kidogo sana ambacho hutakiwi hata kwa bahati mbaya ukafungua GIF au kupita YouTube kwa bahati mbaya.
Kampuni za simu acheni tamaa ya kutengeneza faida kubwa,tunajua mnaweza kutupa bure hizo data,sisi hatutaki bure tunataka kununua angalau MB 500 kwa jero.
Kwa shilingi 500 utapata
MB150 (AIRTEL)
MB70 (TIGO)
MB70 (vodacom)
MB 100 (Halotel).
Maoni yangu.
Haya makampuni ya simu yanatengeneza faida kubwa sana kwenye miamala ya simu,yana uwezo mkubwa sana wa kujiendesha kwa faida kwa biashara moja tu ya huduma ya kifedha achilia mbali faida inayotengeneza kwa huduma nyingine kama voice.
Kwa wastani mtanzania ananunua data MB 90 kwa shilingi 500.
MB 90 ni kiasi kidogo sana ambacho hutakiwi hata kwa bahati mbaya ukafungua GIF au kupita YouTube kwa bahati mbaya.
Kampuni za simu acheni tamaa ya kutengeneza faida kubwa,tunajua mnaweza kutupa bure hizo data,sisi hatutaki bure tunataka kununua angalau MB 500 kwa jero.