Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,127
- 11,908
Mimi napambana nao hivo hivo, uzuri situmii 4G nilizima kuepuka mbugioTTCL sio wanakula bundle wanabugia alafu kila mara mnara unakata baadae sana unarudi yaani ni shida.
Mimi napambana nao hivo hivo, uzuri situmii 4G nilizima kuepuka mbugioTTCL sio wanakula bundle wanabugia alafu kila mara mnara unakata baadae sana unarudi yaani ni shida.
Mkuu mbona mimi kwa 500 napata mb 300 siku kumi (voda )Hii ni bei ya vifurushi vya internet kwa mitandao ya simu ya Vodacom, TIGO, Halotel na AIRTEL kwa gharama ya shilingi 500 kwa siku ya leo trh 11/02/2020.
Kwa shilingi 500 utapata
MB150 (AIRTEL)
MB70 (TIGO)
MB70 (vodacom)
MB 100 (Halotel).
Maoni yangu.
Haya makampuni ya simu yanatengeneza faida kubwa sana kwenye miamala ya simu,yana uwezo mkubwa sana wa kujiendesha kwa faida kwa biashara moja tu ya huduma ya kifedha achilia mbali faida inayotengeneza kwa huduma nyingine kama voice.
Kwa wastani mtanzania ananunua data MB 90 kwa shilingi 500.
MB 90 ni kiasi kidogo sana ambacho hutakiwi hata kwa bahati mbaya ukafungua GIF au kupita YouTube kwa bahati mbaya.
Kampuni za simu acheni tamaa ya kutengeneza faida kubwa,tunajua mnaweza kutupa bure hizo data,sisi hatutaki bure tunataka kununua angalau MB 500 kwa jero.
Mkuu hakuna line ambayo iko slow kama airtel ni bora ukatumia tigo ikiwa EDGE kuliko airtel 3g halafu wanatoa ofa nyingiiiiii .huuu ni ujinga wa karneLabda kama sijaelewa mada, ila mbona zinapatikana MB1000 kwa sh 1000, Airtel na Voda, Tigo kuna cha video/youtube only MB1000 kwa buku.
Sio kivilèeeeeeeevifurushi vya chuo mbona safi kabisa mambo mswanooo!!
Kwa sh ngp?Me kwenye Voda napata MB 5012 kwa mwezi
Kwel,unafanyaje mkuu?Voda mbona unapata GB 5 kwa 2000.za mwezi mzima...!
mkuu hii ni ofa yako tu watu wanatofautiana ktk hiyo ofaa
Haiyaaaaa wakuuu na hapo bado sio ya chuo hii ni voda hii hii mkuu ya kawaida sanaaaa
njoo ttcl boom pak 2000/= 3gb wik nzimaSio kivilèeeeeeee
2000Kwa sh ngp?
mkuu hii ni kwa wateule tu kumbe na ww ni mteule HONGERA SANAVoda mbona unapata GB 5 kwa 2000.za mwezi mzima...!
Piga *149*03# utaona ofa yako mkuu. Kuna data na dakika.Kwel,unafanyaje mkuu?
Tccl wapo mikoani.?njoo ttcl boom pak 2000/= 3gb wik nzima
2000Kwa sh ngp?
Kama una voda piga *149*03# kisha chagua dataKwel,unafanyaje mkuu?