smigo4u
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,408
- 2,844
Ila ulete mrejesho mkuuKwel,unafanyaje mkuu?
Ila ulete mrejesho mkuuKwel,unafanyaje mkuu?
Anza weweMnaonaje tuwasusie mamitandao yao tuone nani mjanja?
kwani ww hauna mkuu?mkuu hii ni ofa yako tu watu wanatofautiana ktk hiyo ofaa
Kama una voda piga *149*03# kisha chagua data
yah ipo sema vocha zake ndo shida kupatikana sababu watumiaji wachacheTccl wapo mikoani.?
Mimi nipo Kigoma mwsho wa reli
tushukuru mungu kwa lipi wakati serikali yetu imetoa pesa nyingi kwenye mkonge wa taifa? unajua maana ya uwepo wa mkonge huo? maan yake mawasiliano tupate kwa bei nafuu...Mleta mada ingependa ufahamu kuwa kwa sasa
Voice Call haina dili tena kama INTERNET
Na bado siku zijazo INTERNET BUNDLE itazidi kupanda saaana
Leo kujiunga VOICE CALL ya 500 unapata dakika zaidi ya 50
Lkn bando mia5 Mb 90
Kwanza hapa Kwetu TZ ni bei rahisi saaana jaribu kuulizia kwa majirani zetu Uganda huko bando hazishikiki Uganda sh1000 unapata MB20
Tukienda Nchi za MIDDLE East ndio balaa DIRHAM 100 unapata 1GB
Dirham 100 ni sawa na 50.000 Tshs, ndio maana huko makwao wanatumia INTERNET KWA KUPITIA WIFI TU
Ukiwa sehem hakuna WIFE Free hapo haupo ONLINE ktk Maswala ya INTERNET
Ningeshauri tu watanzania wenzangu tuacheni tabia za kujilizaliza hovyo pasipo na sababu za msingi[emoji1321]
Wahenga walishamaliza kwa kusema
“UKIMWONA ALIE JUU YAKO UTAKUFURU KWA MUNGU,NA UKIMWONA ALIEKUWA CHINI YAKO UTASHUKURU KWA MUNGU”[emoji1321]
[emoji111] [emoji111] [emoji111] hongera mkuu kwa kuwa mteule.HATUNA CHA KUCHANGIA KWENYE UZI HUU LABDA KUWAPA WATU MOYO TU .mbona m nnayo iyo offa mkuu sema ni kwa watu wachache lakin
Shida nyingine sina wa kumpigia nkinunuayah ipo sema vocha zake ndo shida kupatikana sababu watumiaji wachache
Nime muelewe ni mwaka 2020Labda kama sijaelewa mada, ila mbona zinapatikana MB1000 kwa sh 1000, Airtel na Voda, Tigo kuna cha video/youtube only MB1000 kwa buku.
nunua kwa ajiri ya bandos tu mkuuShida nyingine sina wa kumpigia nkinunua
na mimi nilicheki. hii ni jambo jema na inabidi izidi kushuka ikiwezekana. wasitumie kama kigezo cha kupandisha bei. kwenye information age data inatakiwa isiwe kitu cha kuumiza kichwa.Wadau wanadai EA, Tz ndio yenye data bei chee! 😳🙄
Ngoja nkomae na halotel tununua kwa ajiri ya bandos tu mkuu
MB 1200 Tigo na dk 200 tigo-tigo 40 mitandao yote piga *147*00# chagua ofa chapchap
Ngoja nkomae na halotel tu
maana nikiwa job hata muda wa surf siupat
Pamojapoa poa mkuu