Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,384
Acha niangalie tu kideoni Yatosha
Ok ok lakini naona kama atapotza pambano vile maana kubadilisha aina ya upiganaji kwa mara ya kwanza alafu anakutana na bondia nguli kama myweather,mimi binafsi nampa asilimia ndogo sana ya ushindiAlikuwa anapigana aina hiyo ila kwa sasa amebadili aina ya upiganaji ,kwa sasa anacheza Boxing ,kama sikosei ni Orthodox huyo.
Kideoni hakuna ladha bora kitu cha liveAcha niangalie tu kideoni Yatosha
sawa mkuuKideoni hakuna ladha bora kitu cha live
Baada ya kubadili amecheza pambano mengi na ameshinda kwa kishindo.Ok ok lakini naona kama atapotza pambano vile maana kubadilisha aina ya upiganaji kwa mara ya kwanza alafu anakutana na bondia nguli kama myweather,mimi binafsi nampa asilimia ndogo sana ya ushindi
Unajua gharama za ujenzi au unaandika title ya thread while u empty headed..!!??Homa la pambano la Floyd Mayweather na Conor MCGregor inazidi kupamba moto na kwa sasa bei za tickets zimeshatangazwa tayali ambapo wale wapenzi wa Boxing nikiwemo mimi mwenyewe tumeshaanza kuzigombania kama njungu .
Mashabiki wengi wa Boxing hasa wale wapenzi wa floyd tumekuwa na kiu kubwa sana ya kumuona Floyd akirudi tena ulingoni kuendeleza mtanange kama kawaida ingawaje 40% ya wapenzi wa boxing wamemtabiria Floyd kupoteza pambano hilo.
Mbali na mashabiki wa boxing ,Floyd yeye mwenyewe amekiri kwa kinywa chake kwamba kuna probability kubwa sana ya kupoteza pambano hilo kwa sababu yeye umri umeshamtupa mkono na mtu anayekwenda kupambana naye bado damu inachemka sana ,hivyo basi lolote lile linaweza kutokea
View attachment 528914
Homa la pambano la Floyd Mayweather na Conor MCGregor inazidi kupamba moto na kwa sasa bei za tickets zimeshatangazwa tayali ambapo wale wapenzi wa Boxing nikiwemo mimi mwenyewe tumeshaanza kuzigombania kama njungu .
Mashabiki wengi wa Boxing hasa wale wapenzi wa floyd tumekuwa na kiu kubwa sana ya kumuona Floyd akirudi tena ulingoni kuendeleza mtanange kama kawaida ingawaje 40% ya wapenzi wa boxing wamemtabiria Floyd kupoteza pambano hilo.
Mbali na mashabiki wa boxing ,Floyd yeye mwenyewe amekiri kwa kinywa chake kwamba kuna probability kubwa sana ya kupoteza pambano hilo kwa sababu yeye umri umeshamtupa mkono na mtu anayekwenda kupambana naye bado damu inachemka sana ,hivyo basi lolote lile linaweza kutokea
Mkuu siyaoni hayo mapambano you tube hata moja ebu nirushie link kama wee unaonaBaada ya kubadili amecheza pambano mengi na ameshinda kwa kishindo.
Kivipi?Mtoa mada somo la hisabati ni tatizo kwako
Kwani Floyd hajawahi kumpiga mtu kwa K.O?Mimi ngumi za floyd uwa sizielewi ngumi nilizokuwa nazielewa ni enzi za akina mike tyson, evander bwana ngumi mpaka mtu anang'ata sikio na ma knock out mtu chini
Ashawahi sema mimi mapambano yake siyaelewi sijui ndo nazeeka.Kwani Floyd hajawahi kumpiga mtu kwa K.O?
Ilo ghorofa la 4.5M ni la makaratasi au
Ilitosha kabisa kusema 4 505 094 na si million 4 505 094, ondoa neno millionKivipi?
Walioandika ndio wamekosea maana wamesema tiketi ya chini bei yake ni milioni 4, 505,094, yaani 4,505,095 million au kwa tarakimu kamili 4,505,095,000,000 au kwa maneno sawa na trilion 4.5mtoa mada acha up...mbav..! kasome vze figures, rudi shule upya shwain