Bei ya tiketi moja ya pambano la Floyd na McGregor ni sawa na kujenga maghorofa 80 TZ

Alikuwa anapigana aina hiyo ila kwa sasa amebadili aina ya upiganaji ,kwa sasa anacheza Boxing ,kama sikosei ni Orthodox huyo.
Ok ok lakini naona kama atapotza pambano vile maana kubadilisha aina ya upiganaji kwa mara ya kwanza alafu anakutana na bondia nguli kama myweather,mimi binafsi nampa asilimia ndogo sana ya ushindi
 
Ok ok lakini naona kama atapotza pambano vile maana kubadilisha aina ya upiganaji kwa mara ya kwanza alafu anakutana na bondia nguli kama myweather,mimi binafsi nampa asilimia ndogo sana ya ushindi
Baada ya kubadili amecheza pambano mengi na ameshinda kwa kishindo.
 
Bei ya Juu ya ticket ni kias gan kabla sjawaza tofauti?

mayweather-mcgregor-tickets-983450.jpg
 
Homa la pambano la Floyd Mayweather na Conor MCGregor inazidi kupamba moto na kwa sasa bei za tickets zimeshatangazwa tayali ambapo wale wapenzi wa Boxing nikiwemo mimi mwenyewe tumeshaanza kuzigombania kama njungu .


Mashabiki wengi wa Boxing hasa wale wapenzi wa floyd tumekuwa na kiu kubwa sana ya kumuona Floyd akirudi tena ulingoni kuendeleza mtanange kama kawaida ingawaje 40% ya wapenzi wa boxing wamemtabiria Floyd kupoteza pambano hilo.

Mbali na mashabiki wa boxing ,Floyd yeye mwenyewe amekiri kwa kinywa chake kwamba kuna probability kubwa sana ya kupoteza pambano hilo kwa sababu yeye umri umeshamtupa mkono na mtu anayekwenda kupambana naye bado damu inachemka sana ,hivyo basi lolote lile linaweza kutokea

View attachment 528914
Unajua gharama za ujenzi au unaandika title ya thread while u empty headed..!!??
 
Homa la pambano la Floyd Mayweather na Conor MCGregor inazidi kupamba moto na kwa sasa bei za tickets zimeshatangazwa tayali ambapo wale wapenzi wa Boxing nikiwemo mimi mwenyewe tumeshaanza kuzigombania kama njungu .


Mashabiki wengi wa Boxing hasa wale wapenzi wa floyd tumekuwa na kiu kubwa sana ya kumuona Floyd akirudi tena ulingoni kuendeleza mtanange kama kawaida ingawaje 40% ya wapenzi wa boxing wamemtabiria Floyd kupoteza pambano hilo.

Mbali na mashabiki wa boxing ,Floyd yeye mwenyewe amekiri kwa kinywa chake kwamba kuna probability kubwa sana ya kupoteza pambano hilo kwa sababu yeye umri umeshamtupa mkono na mtu anayekwenda kupambana naye bado damu inachemka sana ,hivyo basi lolote lile linaweza kutokea

= tayari
 
Mimi ngumi za floyd uwa sizielewi ngumi nilizokuwa nazielewa ni enzi za akina mike tyson, evander bwana ngumi mpaka mtu anang'ata sikio na ma knock out mtu chini
 
Mc Gregory O Connor a.k. a Notorious, hii gemu kwenye boxing ndo yakwanza dhidi ya Floyd Mayweather. Hajawahi kupigwa kwenye mchezo wa mateke na ngumi (Kickboxing ), kaamua kuufukuzia mpunga mrefu kwenye boxing, ujue pambano hilo wanavuta mpunga mrefu mno, ndo maana jamaa kaji-sacrify ingawa hatashinda kutokana na mchezo wa Mayweather wenye ukeraji.
 
Sawa ni boxing match, ila its overhyped, over promoted, overmarketed and overrated, sisi tutasubiri sports news au kupata ka link ka huu mchezo, dunia ya leo nawahurumia watoto wetu maana nothing is real anymore..
 
mtoa mada acha up...mbav..! kasome vze figures, rudi shule upya shwain
Walioandika ndio wamekosea maana wamesema tiketi ya chini bei yake ni milioni 4, 505,094, yaani 4,505,095 million au kwa tarakimu kamili 4,505,095,000,000 au kwa maneno sawa na trilion 4.5
 
Back
Top Bottom