jiwe la majiwe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 2,537
- 1,584
Huyu jamaa atakuwa mgonjwa wa akili.......Ilo ghorofa la 4.5M ni la makaratasi au
Huyu jamaa atakuwa mgonjwa wa akili.......Ilo ghorofa la 4.5M ni la makaratasi au
Ulishawahi ugua ugonjwa wa akili....?Punguza mihemko
Umeukalia nini hapo ulipo. Mbona unaandika ujingaWalioandika ndio wamekosea maana wamesema tiketi ya chini bei yake ni milioni 4, 505,094, yaani 4,505,095 million au kwa tarakimu kamili 4,505,095,000,000 au kwa maneno sawa na trilion 4.5
nafikiri atakuwa ametoroka mirembe.Unajua gharama za ujenzi au unaandika title ya thread while u empty headed..!!??
Kama kawaida yako.= tayari
28Huyo jamaa anaye pigana naye anaumri gani?
Hela za Makinikia zikija nitamwomba Magu atenge trilioni 9 ili mimi na mtoa mada tukaliwakilishe taifaWalioandika ndio wamekosea maana wamesema tiketi ya chini bei yake ni milioni 4, 505,094, yaani 4,505,095 million au kwa tarakimu kamili 4,505,095,000,000 au kwa maneno sawa na trilion 4.5
Eti unagombania ticketi za pambano hilo huna uwezo ,Wewe kagombanie ticket za mabasi ya mwendokasi,
Sawa kabisa mkuu ,hao wengine naona wanaleta mihemko tu.Walioandika ndio wamekosea maana wamesema tiketi ya chini bei yake ni milioni 4, 505,094, yaani 4,505,095 million au kwa tarakimu kamili 4,505,095,000,000 au kwa maneno sawa na trilion 4.5
Hakika huo ni uzalendo wa kutukuka na kupigiwa chapuo. Unastahili pongezi na uungwaji mkono.Hela za Makinikia zikija nitamwomba Magu atenge trilioni 9 ili mimi na mtoa mada tukaliwakilishe taifa
Umebwiya au umevuta....mwalimu wako wa hesabu yupo hai kweli?Walioandika ndio wamekosea maana wamesema tiketi ya chini bei yake ni milioni 4, 505,094, yaani 4,505,095 million au kwa tarakimu kamili 4,505,095,000,000 au kwa maneno sawa na trilion 4.5
Litakuwa la Uyoga hill ghorofa.Ilo ghorofa la 4.5M ni la makaratasi au
Hela za Makinikia zikija nitamwomba Magu atenge trilioni 9 ili mimi na mtoa mada tukaliwakilishe taifa
Floyd Mjanja Sana .. kapoteza pesa nyingi sana kwa kipindi chada mfupi kwa ulimbukeni wa maisha .Homa la pambano la Floyd Mayweather na Conor MCGregor inazidi kupamba moto na kwa sasa bei za tickets zimeshatangazwa tayali ambapo wale wapenzi wa Boxing nikiwemo mimi mwenyewe tumeshaanza kuzigombania kama njungu .
Mashabiki wengi wa Boxing hasa wale wapenzi wa floyd tumekuwa na kiu kubwa sana ya kumuona Floyd akirudi tena ulingoni kuendeleza mtanange kama kawaida ingawaje 40% ya wapenzi wa boxing wamemtabiria Floyd kupoteza pambano hilo.
Mbali na mashabiki wa boxing ,Floyd yeye mwenyewe amekiri kwa kinywa chake kwamba kuna probability kubwa sana ya kupoteza pambano hilo kwa sababu yeye umri umeshamtupa mkono na mtu anayekwenda kupambana naye bado damu inachemka sana ,hivyo basi lolote lile linaweza kutokea
View attachment 528914