Hoja dhaifuUFC kwa watu wa MMA kina Mc Gregor Maximum ni raundi 5...huku kwa bwana Floyd raundi ni 12...mshindi anajulikana tayari
Huyu mcgregor anataka kufa,asfikir kickboxing ndo boxing,..amuulize kaseba,alivyopigwa na cheka,..boxing ni real fights na ni ngumi kweli,yaana mcheza boxing ame concentrate nguv zoote kwenye mikono sasa mtu wa kickboxing ujanja wa kukwepa ngum za uson anao,..unajua kickboxers wanataftaga sifa tu
Sawa we mjanja nenda kaangalie bongo Muvi na dada zako.wapuuzi ndo wata gudhuria hilo pamnano LA ma clowns
Sihitaji kujua kama yuko hai au la. Ila kwa mara ya mwisho nilipocheck, milioni 4, 505, 049 ilikuwa sawa na trilioni 4.5. Ila sikushangai maana uwezo wetu watanzania kielimu ni mdogo sana kwa wastani na ninyi ndio mnachangia.Umebwiya au umevuta....mwalimu wako wa hesabu yupo hai kweli?
Sahihisha huo udhaifu...Hoja dhaifu
28Huyo jamaa anaye pigana naye anaumri gani?
49-0 26 KOKwani Floyd hajawahi kumpiga mtu kwa K.O?
Conor ashapigwa mara tatu,check your recordsMc Gregory O Connor a.k. a Notorious, hii gemu kwenye boxing ndo yakwanza dhidi ya Floyd Mayweather. Hajawahi kupigwa kwenye mchezo wa mateke na ngumi (Kickboxing ), kaamua kuufukuzia mpunga mrefu kwenye boxing, ujue pambano hilo wanavuta mpunga mrefu mno, ndo maana jamaa kaji-sacrify ingawa hatashinda kutokana na mchezo wa Mayweather wenye ukeraji.
Conor ashapigwa mara tatu,check your records