Ujue usanii wa bondia Floyd Mayweather katika pambano lake na Connor McGregory

dokolombwike

JF-Expert Member
Oct 18, 2012
373
615
Bondia maarufu duniani floyd mayweather,ambaye amepigana mara 49 bila kupigwa anategemea kuingia ulingoni na mc gregory ambaye sio proffesional boxer na hana rekodi yoyote katika boxing,yeye ni proffesional katika mchezo unaitwa mixed martial artist,(ni mchezo ambao unachanganya ngumi,mateke,kukabana,kudondoshana na vitu kama hivyo. kwanini nasema floyd ni mjanja.Ni wazi kabisa floyd atashinda hilo pambano kwa uhakika wa asilimia 90. kwa sababu zifuatazo

Mayweather ni proffesional katika boxer lakini anacheza na mtu ambaye sio proffesional katika boxer,yaani ameingia kwenye boxer halafu anakutana na mtu ambaye ndo kazi yake kwa mda wa kama miaka 30.

May weather kapigana mara 49 bila kupoteza wakati gregory kashapoteza huko kwenye mchezo wake sina hakika mara ngapi.

Kwenye boxing kuna roundi 12 wakati kwa gregory huwa kunakuwa na roundi 4
Mayweather kakutana na proffesional boxers hatari zaidi lakini hawakumpiga ndo anapigwaje na mtu anayecheza mchezo tofauti akampiga ,mfano man pacgiao ndo alikuwa wa kumpiga mayweather lakini ilishindikana.

May weather mjanja sana yaani amewaaminisha watu kama anawewza kupigwa ili pambano livutie mashabiki ili apige mpunga mwingi,sababu kama watu wangekuwa na uhakika kuwa mayweather atashinda toka mwanzo pambano lisingevutia mashabiki,lazima iwe haijulikani ni nani atapigwa ndo watu wanavutiwa.

Na mbaya zaidi mayweather mwenyewe ndo promoter kupitia mayweather promotion,kwahiyo lazima amsifie jamaa lakini ukweli ni kwamba jamaa atakaa mapema tu.ni mtazamo wangu wapenzi wa ngumi mnaweza mkaongeza vitu hapa​
 
Nikweli kabsa,boxing ni mchezo namba moja wa real fight dunian,..mcgregor anacheza round4 halaf anatumia had mateke,kukabana,kupigana makofi ndo aje akutane na mtu anaye aim kichwan tuu na ndo mkali wa hizo kaz,mcgregor atakufa ulingon..kama ni mfatiliaj wa boxing utakumbuka jins kaseba alivochapwa na cheka had alitaka poteza maisha,
 
Nikweli kabsa,boxing ni mchezo namba moja wa real fight dunian,..mcgregor anacheza round4 halaf anatumia had mateke,kukabana,kupigana makofi ndo aje akutane na mtu anaye aim kichwan tuu na ndo mkali wa hizo kaz,mcgregor atakufa ulingon..kama ni mfatiliaj wa boxing utakumbuka jins kaseba alivochapwa na cheka had alitaka poteza maisha,
game tar ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bondia maarufu duniani floyd mayweather,ambaye amepigana mara 49 bila kupigwa anategemea kuingia ulingoni na mc gregory ambaye sio proffesional boxer na hana rekodi yoyote katika boxing,yeye ni proffesional katika mchezo unaitwa mixed martial artist,(ni mchezo ambao unachanganya ngumi,mateke,kukabana,kudondoshana na vitu kama hivyo. kwanini nasema floyd ni mjanja.Ni wazi kabisa floyd atashinda hilo pambano kwa uhakika wa asilimia 90. kwa sababu zifuatazo
mayweather ni proffesional katika boxer lakini anacheza na mtu ambaye sio proffesional katika boxer,yaani ameingia kwenye boxer halafu anakutana na mtu ambaye ndo kazi yake kwa mda wa kama miaka 30.
May weather kapigana mara 49 bila kupoteza wakati gregory kashapoteza huko kwenye mchezo wake sina hakika mara ngapi.
Kwenye boxing kuna roundi 12 wakati kwa gregory huwa kunakuwa na roundi 4
Mayweather kakutana na proffesional boxers hatari zaidi lakini hawakumpiga ndo anapigwaje na mtu anayecheza mchezo tofauti akampiga ,mfano man pacgiao ndo alikuwa wa kumpiga mayweather lakini ilishindikana.
May weather mjanja sana yaani amewaaminisha watu kama anawewza kupigwa ili pambano livutie mashabiki ili apige mpunga mwingi,sababu kama watu wangekuwa na uhakika kuwa mayweather atashinda toka mwanzo pambano lisingevutia mashabiki,lazima iwe haijulikani ni nani atapigwa ndo watu wanavutiwa.
Na mbaya zaidi mayweather mwenyewe ndo promoter kupitia mayweather promotion,kwahiyo lazima amsifie jamaa lakini ukweli ni kwamba jamaa atakaa mapema tu.ni mtazamo wangu wapenzi wa ngumi mnaweza mkaongeza vitu hapa
McGregor ndiye aliyeanza kujigamba kwamba anaweza kumpiga Mayweather. Mayweather akawa anampuuza. Baada ya matchmakers kuweka mpunga mrefu mezani, Mayweather akaona kwanini aache mpunga wa bure? Acheni kumlaumu, anajua kwamba anaingia ulingoni na kuondoka na fedha ndefu bila kuzitolea jasho! Hata ungekuwa wewe usingekataa hela za bure!
Bondia maarufu duniani floyd mayweather,ambaye amepigana mara 49 bila kupigwa anategemea kuingia ulingoni na mc gregory ambaye sio proffesional boxer na hana rekodi yoyote katika boxing,yeye ni proffesional katika mchezo unaitwa mixed martial artist,(ni mchezo ambao unachanganya ngumi,mateke,kukabana,kudondoshana na vitu kama hivyo. kwanini nasema floyd ni mjanja.Ni wazi kabisa floyd atashinda hilo pambano kwa uhakika wa asilimia 90. kwa sababu zifuatazo
mayweather ni proffesional katika boxer lakini anacheza na mtu ambaye sio proffesional katika boxer,yaani ameingia kwenye boxer halafu anakutana na mtu ambaye ndo kazi yake kwa mda wa kama miaka 30.
May weather kapigana mara 49 bila kupoteza wakati gregory kashapoteza huko kwenye mchezo wake sina hakika mara ngapi.
Kwenye boxing kuna roundi 12 wakati kwa gregory huwa kunakuwa na roundi 4
Mayweather kakutana na proffesional boxers hatari zaidi lakini hawakumpiga ndo anapigwaje na mtu anayecheza mchezo tofauti akampiga ,mfano man pacgiao ndo alikuwa wa kumpiga mayweather lakini ilishindikana.
May weather mjanja sana yaani amewaaminisha watu kama anawewza kupigwa ili pambano livutie mashabiki ili apige mpunga mwingi,sababu kama watu wangekuwa na uhakika kuwa mayweather atashinda toka mwanzo pambano lisingevutia mashabiki,lazima iwe haijulikani ni nani atapigwa ndo watu wanavutiwa.
Na mbaya zaidi mayweather mwenyewe ndo promoter kupitia mayweather promotion,kwahiyo lazima amsifie jamaa lakini ukweli ni kwamba jamaa atakaa mapema tu.ni mtazamo wangu wapenzi wa ngumi mnaweza mkaongeza vitu hapa
McGregor ndiye aliyeanza kujigamba kwamba anaweza kumpigana na Mayweather. Mayweather akawa anampuuza. Baada ya matchmakers kuweka mpunga mrefu mezani, Mayweather akaona kwanini aache mpunga wa bure? Acheni kumlaumu, anajua kwamba anaingia ulingoni na kuondoka na fedha ndefu bila kuzitolea jasho! Hata ungekuwa wewe usingekataa hela za bure!
Bondia maarufu duniani floyd mayweather,ambaye amepigana mara 49 bila kupigwa anategemea kuingia ulingoni na mc gregory ambaye sio proffesional boxer na hana rekodi yoyote katika boxing,yeye ni proffesional katika mchezo unaitwa mixed martial artist,(ni mchezo ambao unachanganya ngumi,mateke,kukabana,kudondoshana na vitu kama hivyo. kwanini nasema floyd ni mjanja.Ni wazi kabisa floyd atashinda hilo pambano kwa uhakika wa asilimia 90. kwa sababu zifuatazo
mayweather ni proffesional katika boxer lakini anacheza na mtu ambaye sio proffesional katika boxer,yaani ameingia kwenye boxer halafu anakutana na mtu ambaye ndo kazi yake kwa mda wa kama miaka 30.
May weather kapigana mara 49 bila kupoteza wakati gregory kashapoteza huko kwenye mchezo wake sina hakika mara ngapi.
Kwenye boxing kuna roundi 12 wakati kwa gregory huwa kunakuwa na roundi 4
Mayweather kakutana na proffesional boxers hatari zaidi lakini hawakumpiga ndo anapigwaje na mtu anayecheza mchezo tofauti akampiga ,mfano man pacgiao ndo alikuwa wa kumpiga mayweather lakini ilishindikana.
May weather mjanja sana yaani amewaaminisha watu kama anawewza kupigwa ili pambano livutie mashabiki ili apige mpunga mwingi,sababu kama watu wangekuwa na uhakika kuwa mayweather atashinda toka mwanzo pambano lisingevutia mashabiki,lazima iwe haijulikani ni nani atapigwa ndo watu wanavutiwa.
Na mbaya zaidi mayweather mwenyewe ndo promoter kupitia mayweather promotion,kwahiyo lazima amsifie jamaa lakini ukweli ni kwamba jamaa atakaa mapema tu.ni mtazamo wangu wapenzi wa ngumi mnaweza mkaongeza vitu hapa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikweli kabsa,boxing ni mchezo namba moja wa real fight dunian,..mcgregor anacheza round4 halaf anatumia had mateke,kukabana,kupigana makofi ndo aje akutane na mtu anaye aim kichwan tuu na ndo mkali wa hizo kaz,mcgregor atakufa ulingon..kama ni mfatiliaj wa boxing utakumbuka jins kaseba alivochapwa na cheka had alitaka poteza maisha,
unamaanisha nini unaposema real fight?
 
Bondia maarufu duniani floyd mayweather,ambaye amepigana mara 49 bila kupigwa anategemea kuingia ulingoni na mc gregory ambaye sio proffesional boxer na hana rekodi yoyote katika boxing,yeye ni proffesional katika mchezo unaitwa mixed martial artist,(ni mchezo ambao unachanganya ngumi,mateke,kukabana,kudondoshana na vitu kama hivyo. kwanini nasema floyd ni mjanja.Ni wazi kabisa floyd atashinda hilo pambano kwa uhakika wa asilimia 90. kwa sababu zifuatazo
mayweather ni proffesional katika boxer lakini anacheza na mtu ambaye sio proffesional katika boxer,yaani ameingia kwenye boxer halafu anakutana na mtu ambaye ndo kazi yake kwa mda wa kama miaka 30.
May weather kapigana mara 49 bila kupoteza wakati gregory kashapoteza huko kwenye mchezo wake sina hakika mara ngapi.
Kwenye boxing kuna roundi 12 wakati kwa gregory huwa kunakuwa na roundi 4
Mayweather kakutana na proffesional boxers hatari zaidi lakini hawakumpiga ndo anapigwaje na mtu anayecheza mchezo tofauti akampiga ,mfano man pacgiao ndo alikuwa wa kumpiga mayweather lakini ilishindikana.
May weather mjanja sana yaani amewaaminisha watu kama anawewza kupigwa ili pambano livutie mashabiki ili apige mpunga mwingi,sababu kama watu wangekuwa na uhakika kuwa mayweather atashinda toka mwanzo pambano lisingevutia mashabiki,lazima iwe haijulikani ni nani atapigwa ndo watu wanavutiwa.
Na mbaya zaidi mayweather mwenyewe ndo promoter kupitia mayweather promotion,kwahiyo lazima amsifie jamaa lakini ukweli ni kwamba jamaa atakaa mapema tu.ni mtazamo wangu wapenzi wa ngumi mnaweza mkaongeza vitu hapa
Sasa dunia ya saiz huwa kupiga hela utakuwa na akili wewe nowadays money is every things we endeleA kupiga majungu mwenzako anachukua milioni$100 wewe hata kwa mwaka hufiki milioni kumi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom