dokolombwike
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 373
- 615
Bondia maarufu duniani floyd mayweather,ambaye amepigana mara 49 bila kupigwa anategemea kuingia ulingoni na mc gregory ambaye sio proffesional boxer na hana rekodi yoyote katika boxing,yeye ni proffesional katika mchezo unaitwa mixed martial artist,(ni mchezo ambao unachanganya ngumi,mateke,kukabana,kudondoshana na vitu kama hivyo. kwanini nasema floyd ni mjanja.Ni wazi kabisa floyd atashinda hilo pambano kwa uhakika wa asilimia 90. kwa sababu zifuatazo
Mayweather ni proffesional katika boxer lakini anacheza na mtu ambaye sio proffesional katika boxer,yaani ameingia kwenye boxer halafu anakutana na mtu ambaye ndo kazi yake kwa mda wa kama miaka 30.
May weather kapigana mara 49 bila kupoteza wakati gregory kashapoteza huko kwenye mchezo wake sina hakika mara ngapi.
Kwenye boxing kuna roundi 12 wakati kwa gregory huwa kunakuwa na roundi 4
Mayweather kakutana na proffesional boxers hatari zaidi lakini hawakumpiga ndo anapigwaje na mtu anayecheza mchezo tofauti akampiga ,mfano man pacgiao ndo alikuwa wa kumpiga mayweather lakini ilishindikana.
May weather mjanja sana yaani amewaaminisha watu kama anawewza kupigwa ili pambano livutie mashabiki ili apige mpunga mwingi,sababu kama watu wangekuwa na uhakika kuwa mayweather atashinda toka mwanzo pambano lisingevutia mashabiki,lazima iwe haijulikani ni nani atapigwa ndo watu wanavutiwa.
Na mbaya zaidi mayweather mwenyewe ndo promoter kupitia mayweather promotion,kwahiyo lazima amsifie jamaa lakini ukweli ni kwamba jamaa atakaa mapema tu.ni mtazamo wangu wapenzi wa ngumi mnaweza mkaongeza vitu hapa
Mayweather ni proffesional katika boxer lakini anacheza na mtu ambaye sio proffesional katika boxer,yaani ameingia kwenye boxer halafu anakutana na mtu ambaye ndo kazi yake kwa mda wa kama miaka 30.
May weather kapigana mara 49 bila kupoteza wakati gregory kashapoteza huko kwenye mchezo wake sina hakika mara ngapi.
Kwenye boxing kuna roundi 12 wakati kwa gregory huwa kunakuwa na roundi 4
Mayweather kakutana na proffesional boxers hatari zaidi lakini hawakumpiga ndo anapigwaje na mtu anayecheza mchezo tofauti akampiga ,mfano man pacgiao ndo alikuwa wa kumpiga mayweather lakini ilishindikana.
May weather mjanja sana yaani amewaaminisha watu kama anawewza kupigwa ili pambano livutie mashabiki ili apige mpunga mwingi,sababu kama watu wangekuwa na uhakika kuwa mayweather atashinda toka mwanzo pambano lisingevutia mashabiki,lazima iwe haijulikani ni nani atapigwa ndo watu wanavutiwa.
Na mbaya zaidi mayweather mwenyewe ndo promoter kupitia mayweather promotion,kwahiyo lazima amsifie jamaa lakini ukweli ni kwamba jamaa atakaa mapema tu.ni mtazamo wangu wapenzi wa ngumi mnaweza mkaongeza vitu hapa