Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 2,370
- 1,695
Kwa mtani hizo bei zitakuwa za miaka 3 nyuma. nae ameshakuwa aghali. 1m kwenda mbeleZe special au mtan bespoke wote wako vzur andaa lak 5 had 6
Kwa mtani hizo bei zitakuwa za miaka 3 nyuma. nae ameshakuwa aghali. 1m kwenda mbeleZe special au mtan bespoke wote wako vzur andaa lak 5 had 6
Gani?Ukishakuwa na pesa ya kufanya order ya suit direct kutoka kwa Versace, unakuwa na number ya Stella Versace mwenyewe na vipimo vyako wanavyo, suit inashonwa within 24 hours kutoka ofisini kwao.
Bei
Gani?[/QUOT
Inategemea lakini inaweza kufika between $10,000-20,000, unafikiri wale Oscar winners suit zao wananunua bei gani?
Una asili ya majungu na bila shaka utakuwa ukawa tu haina namnaSuit alizokua akivaa JK toka kwa huyo sheria Ngowi nyingi hazikufit vizuri muundo wa mwili unakuta zinalepweta baadhi ya maeneo na mabegani kuja chini makwapani ni kituko tupu...
Zile zinawafaa kama akina diamond ambao muda wote wanajiweka ki mapozi mapozi lkn kwa mtu unayejiheshimu na unayehitaji kuwa huru mbele ya watu si suti za kuvaa...
Binafsi Bongo kwenye kada ya suti sijaona bado halafu eti ndo laki sita kwenda juu ptuuu!
Ndo shida ya wabongo,ndo maana huws tuna fail sanaaa,et bei huiwezi ndo jbu gani sasa hilo??Aiseee,watu mnafeli kwa swali dogo tu,jamaa ameuliza bei gani???nami nasubiri jibu nijue bei ya hizo suti,ila nachosoma hapa kwa watu wa kaliba yako ni kujibu swali usiloulizwa
Kuna mavazi huvaliwa kwa special event tu kisha baada ya hapo unatupa kule haijalishi umenunua bei gani! Ila ni vizuri vazi kama suti ukajitahidi angalau ukawa nazo japo pea mbili tatu siku moja moja ukawa unatupia.Mbona sioni tofauti yoyote kati ya hizo suti za special za bei ghali na hizi za kushona kwa mafundi wataalamu?
Naona hizo ni mbwembwe tuu hazina lolote tena ni rahis kuchanika na huvai miaka mingi
SawaKuna mavazi huvaliwa kwa special event tu kisha baada ya hapo unatupa kule haijalishi umenunua bei gani! Ila ni vizuri vazi kama suti ukajitahidi angalau ukawa nazo japo pea mbili tatu siku moja moja ukawa unatupia.
Kwa mtani hizo bei zitakuwa za miaka 3 nyuma. nae ameshakuwa aghali. 1m kwenda mbele
Mkuu kweli umemshughulikia.We shida yako Suti nzuri ya kukupendeza au ya kuvaa miaka mingi? Ukitaka za kuvaa miaka mingi shonesha Suti za ngozi ya mamba,ng'ombe,punda hizo zinadumu mana wenzio kina Mpoto wanashonesha hadi za magunia
Anakushauri namna ya kuvaa au?Laki 5 ankushonea unavotaka Wewe na kukushaur
Kuvaa kutokana na aina ya shughuliAnakushauri namna ya kuvaa au?
Milioni 1 source mi mwenyewe mkuuZe special au mtan bespoke wote wako vzur andaa lak 5 had 6
Kafanya nn huyu naniliuMaskini bitwelvu
Kafanya nn huyu naniliu