RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,868
- 108,387
Kwani nilivyosema Cif ya Verossa nimemtaja mtu? Watu wengine bana.CIF ya Verosa ni kwako wewe na mimi.
Kwa mwingine mwenye hela anaona hawezi kushuka kwenye Range Rover kavaa suti ya 70,000/=
Lazima tuelewe diversity za consumers, uwezo, tastes na vipaumbele. Mwingine anaona hawezi kununua suti ya $500 lakini ana iPhone ya $1,000 mfukoni, bei ya ardhi Mkuranga! Personal priorities.